Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Ukingalia A.Kinana mpaka jana anajiuzulu ameonyesha kukubalika pande zote mbili, Upinzani na Chama tawala, kila mtu anamwagia sifa za uhodari na uchapa kazi uliotukuka, sijawahi kushuhudia hapa TZ mtu ambaye ameweza kufikia hadhi hiyo ya kupendwa na kukubalika na Upinzani na CCM kwa pamoja, hata Nyerere ambaye upinzani pia wanajifanya kumpenda lkn nina uhakika kama angekuwepo na akapewa Ukatibu mkuu wa CCM wangemchukia pia, Je inasema chochote kuhusu genetics?
Ikumbukwe kwamba A.Kinana siyo Mbantu kibaolojia bali ana asili ya Somalia, na sijawahi kukutana na Msomali masikini TZ au nchi nyingine yoyote ile nje ya Somalia ambayo ina Somali community, pia wakati Somalia ina Amani enzi za akina Siad Bare ilikuwa mbali sana Kiuchumi ukilinganisha na nchi zetu, leo hii Somali community imenunua karibia jiji lote la Nairobi, hata Dar wamewekeza sana kwenye real estate wanamiliki biashara nyingi kwa kifupi wamefanikiwa sana klk sisi wenyeji, AK wanamiliki biashara kwenye maeneo ya makazi ya wenyeji kama Soweto mpaka watu wa AK wakaamua kuwachoma moto na kuharibu biashara zao kwa wivu na kushindwa ku-compete nao.
Je A.Kinana anathibitisha chochote kuhusu race and intelligence?
Ikumbukwe kwamba A.Kinana siyo Mbantu kibaolojia bali ana asili ya Somalia, na sijawahi kukutana na Msomali masikini TZ au nchi nyingine yoyote ile nje ya Somalia ambayo ina Somali community, pia wakati Somalia ina Amani enzi za akina Siad Bare ilikuwa mbali sana Kiuchumi ukilinganisha na nchi zetu, leo hii Somali community imenunua karibia jiji lote la Nairobi, hata Dar wamewekeza sana kwenye real estate wanamiliki biashara nyingi kwa kifupi wamefanikiwa sana klk sisi wenyeji, AK wanamiliki biashara kwenye maeneo ya makazi ya wenyeji kama Soweto mpaka watu wa AK wakaamua kuwachoma moto na kuharibu biashara zao kwa wivu na kushindwa ku-compete nao.
Je A.Kinana anathibitisha chochote kuhusu race and intelligence?