Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,601
- 217,992
Nimemsikia Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Simon Sirro alipokuwa anaongea na waandishi wa habari , ameongea mengi na wala hakuna haja ya kuyarudia tena hapa, lakini nitagusia machache hasa kwenye Wapinzani kutishiwa maisha , kwa maana ya kutishiwa kuuawa.
IGP anakanusha na kupinga wanasiasa kutishiwa maisha na anabeza kitendo hicho as if wapinzani hao wametunga , na amefikia hitimisho kwamba hakuna aliyetishwa na kwamba jambo hilo limezushwa ili kuwezesha wapinzani hao kuishi nje ya nchi kama walivyopanga ili kuichafua Serikali.
Je, umefika wakati wa wapinzani nao kujibu kikamilifu kauli ya IGP ili kubalance Story au wakae kimya na kuacha kauli ya Sirro iwe ndio ya Mwisho?
IGP anakanusha na kupinga wanasiasa kutishiwa maisha na anabeza kitendo hicho as if wapinzani hao wametunga , na amefikia hitimisho kwamba hakuna aliyetishwa na kwamba jambo hilo limezushwa ili kuwezesha wapinzani hao kuishi nje ya nchi kama walivyopanga ili kuichafua Serikali.
Je, umefika wakati wa wapinzani nao kujibu kikamilifu kauli ya IGP ili kubalance Story au wakae kimya na kuacha kauli ya Sirro iwe ndio ya Mwisho?