Je, Kuna haja ya Tundu Lissu na wapinzani kwa ujumla wao kumjibu IGP Sirro?

- KumbukiziMTAFUTANO.jpg
 
Nimemsikia Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Simon Sirro alipokuwa anaongea na waandishi wa habari , ameongea mengi na wala hakuna haja ya kuyarudia tena hapa, lakini nitagusia machache hasa kwenye Wapinzani kutishiwa maisha , kwa maana ya kutishiwa kuuawa....

Swali moja tu kwa IGP ni kwamba watu waliopiga risasi Lissu ni wakina nani na mbona pamoja na Lissu kurudi hakukuwa na kesi yeyote. Bila kujibu hili hawezi kuaminika
 
Kwanza atuambie kwanini waliashiriki kuwakamata wakala wa chadema na ACT wakati wa zoezi la upigaji kula bila sababu za za msingi au za kutunga za wasimamizi na kuwazungusha Kisha kuwarudisha kwenye vituo bya kupigia kuta bila kuwafungulia mashtaka.hiyo nafasi ya wazi alimwachia Nani ili iweje?
 
Kwanza atuambie kwanini waliashiriki kuwakamata wakala wa chadema na ACT wakati wa zoezi la upigaji kula bila sababu za za msingi au za kutunga za wasimamizi na kuwazungusha Kisha kuwarudisha kwenye vituo bya kupigia kuta bila kuwafungulia mashtaka.hiyo nafasi ya wazi alimwachia Nani ili iweje?
Wapuuzi kabisa
 
Naunga mkono kauli ya IGP siro hakuna mjasiriasiasa(mpinzani) anaetishiwa, wana weweseka baada ya kushindwa uchaguzi, yaani utishiwe baada ya kushindwa? Pingapinga wa Tanzania ni losers
 
Asijibiwe yeye atakutana nao za The Hague , na hivi hajui Kiingereza sijui atajiteteaje ? Hata huyo Kabudi atawstetea wote ataweza ?
 
Nimemsikia Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Simon Sirro alipokuwa anaongea na waandishi wa habari , ameongea mengi na wala hakuna haja ya kuyarudia tena hapa, lakini nitagusia machache hasa kwenye Wapinzani kutishiwa maisha , kwa maana ya kutishiwa kuuawa.

IGP anakanusha na kupinga wanasiasa kutishiwa maisha na anabeza kitendo hicho as if wapinzani hao wametunga , na amefikia hitimisho kwamba hakuna aliyetishwa na kwamba jambo hilo limezushwa ili kuwezesha wapinzani hao kuishi nje ya nchi kama walivyopanga ili kuichafua Serikali.

Je, umefika wakati wa wapinzani nao kujibu kikamilifu kauli ya IGP ili kubalance Story au wakae kimya na kuacha kauli ya Sirro iwe ndio ya Mwisho?
Never argue with a fool
 
Kama ana kifua arejee kauli ya mtoto wa dada aliyoitoa Arusha juu ya kumpoison TL kwamba this time awatumii bunduki awakosei. Mtoto wa dada ajawahi ropoka kisichojadiliwa kwenye familia.
 
Never argue with a fool
True! Never! Watu hawatatofautisha.
Lissu alitishiwa kabla ya kupigwa risasi na aliripoti Polisi. Alisema kuna gari lilikuwa linamfuatilia kila mahali. Polisi hawa hawakuchukua hatua hadi anamiminiwa risasi zile.
Lissu amepigwa risasi miaka 3 iliyopita. Hakuna aliyetuhumiwa, hakuna aliyekamatwa, hakuna uchunguzi unaondelea hata sasa.
Leo katishiwa tena, na Polisi hawa wanataka awaamini na ajipeleke kwao. Sirro asitufanye wote wajinga!!!
 
Nimemsikia Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Simon Sirro alipokuwa anaongea na waandishi wa habari , ameongea mengi na wala hakuna haja ya kuyarudia tena hapa, lakini nitagusia machache hasa kwenye Wapinzani kutishiwa maisha , kwa maana ya kutishiwa kuuawa.

IGP anakanusha na kupinga wanasiasa kutishiwa maisha na anabeza kitendo hicho as if wapinzani hao wametunga , na amefikia hitimisho kwamba hakuna aliyetishwa na kwamba jambo hilo limezushwa ili kuwezesha wapinzani hao kuishi nje ya nchi kama walivyopanga ili kuichafua Serikali.

Je, umefika wakati wa wapinzani nao kujibu kikamilifu kauli ya IGP ili kubalance Story au wakae kimya na kuacha kauli ya Sirro iwe ndio ya Mwisho?
Ni vizuri wakijibu, lakini hata wakikaa kimya haiwezi kugeuza ukweli kwamba watu wamekimbia kwa kusalimisha roho zao na kwamba jeshi la polisi Tanzania kwa sasa limepoteza weledi. Watanzania waliowengi hawaamini tena jeshi la polisi.
 
Back
Top Bottom