johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,558
Spika Ndugai alisema kanuni za bunge zinaruhusu mbunge kuapishwa nje ya ukumbi wa bunge jambo muhimu ni lazima mbunge aape mbele ya Spika wa bunge.
Mwenyekiti wa Chadema ambaye ni mbunge mstaafu na pia alikuwa mjumbe kwenye kamati ya kanuni amesema kanuni ile inakwenda kinyume cha katiba.
Kwamba katiba inatamka mbunge ataapishwa " before national assembly maana yake ikiwa mbele ya bunge zima.
Kufuatia sintofshamu hii je kuna haja ya Spika Ndugai kuitisha press na kutoa elimu itakayofunga huu mjadala?
Maendeleo hayana vyama!
Mwenyekiti wa Chadema ambaye ni mbunge mstaafu na pia alikuwa mjumbe kwenye kamati ya kanuni amesema kanuni ile inakwenda kinyume cha katiba.
Kwamba katiba inatamka mbunge ataapishwa " before national assembly maana yake ikiwa mbele ya bunge zima.
Kufuatia sintofshamu hii je kuna haja ya Spika Ndugai kuitisha press na kutoa elimu itakayofunga huu mjadala?
Maendeleo hayana vyama!