jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,247
- 1,634
Miaka kadhhaa tu majeshi ya SADC yaliingia DRC Na kufanikiwa kuliteleteza Kundi la waasi la M23 kwa muda mfupi ..ambalo lilishaishinda serikari ya DRC.
Tangu mwaka 2017 serikali ya msumbiji imeshuhudia mashambuliz toka kwa wanamgambo wa kigaidi kaskazin mwa msumbiji
Pia Kundi Hilo limefanya mashambulizi hayo baadhi ya vijij vya nchi jiran.
Kwa kutambua kua Kundi Hilo litadestabilise nchi za SADC na kuleta machafuko kwa nchi jumuiya Kama ilivo kwa West Africa ambapo Boko haramu wamedhoofisha Aman ya nchi hizo had central Africa Chad!!
Karibu kwa maoni
Tangu mwaka 2017 serikali ya msumbiji imeshuhudia mashambuliz toka kwa wanamgambo wa kigaidi kaskazin mwa msumbiji
Pia Kundi Hilo limefanya mashambulizi hayo baadhi ya vijij vya nchi jiran.
Kwa kutambua kua Kundi Hilo litadestabilise nchi za SADC na kuleta machafuko kwa nchi jumuiya Kama ilivo kwa West Africa ambapo Boko haramu wamedhoofisha Aman ya nchi hizo had central Africa Chad!!
Karibu kwa maoni