Mkuu, uelewe kuwa sensa inafanyika kila baada ya miaka 10, tena kama bajeti inaruhusu. Uelewe kuwa serikali hii imebakiza miaka mitatu kuondoka, tena iwapo haitatokea dharura uchaguzi ukafanyika kabla. Sasa kama unadhani sensa hii ni kwa ajili ya serikali hii, basi sidhani kama umetumia muda wako kufikiri kabla. Kinadharia, kama haitatokea dharura, idadi hiyo ya watu katika sensa hii inaweza kutumika katika serikali tatu tofauti!
Mkuu, uelewe kuwa sensa inafanyika kila baada ya miaka 10, tena kama bajeti inaruhusu. Uelewe kuwa serikali hii imebakiza miaka mitatu kuondoka, tena iwapo haitatokea dharura uchaguzi ukafanyika kabla. Sasa kama unadhani sensa hii ni kwa ajili ya serikali hii, basi sidhani kama umetumia muda wako kufikiri kabla. Kinadharia, kama haitatokea dharura, idadi hiyo ya watu katika sensa hii inaweza kutumika katika serikali tatu tofauti!
Hakuna haja ni kutaka kujikweza kwa serikali yetu, utaratibu wote umejaa ubabaishaji mtupu, nadhani hawakujipanga kwa zoezi hili.
Wana JF, hivi mnafikiri serikali kama hii itafanya jambo la maana muhimu baada ya sensa katika maendeleo au tutabaki kujulikana idadi tu?