Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,558
- 45,829
Kwa uhenga nilionao,na wanaume ninaowapenda nimeona inakuwa ngumu kupata mwanaume ambae hana mtoto.au bikra.nakutana na used tupu.walio bikra wapo ila wapo complicated kuliko hali ya vyama vya siasa tz.
Kutoka moyoni Sina shida na mtoto yoyote naweza nikalea tu vizuri kama wa kwangu.
Tatizo nililogundua baby mama wengi ni watu wasiopenda kukubali matokeo lazima atafanya figisu tu kwa mwanamke mwenzie. Kwa kumtumia mtoto wake alie pale nyumbani
Je Kuna haja ya kuchukua watoto wa mume au walelewe huko huko waliko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoka moyoni Sina shida na mtoto yoyote naweza nikalea tu vizuri kama wa kwangu.
Tatizo nililogundua baby mama wengi ni watu wasiopenda kukubali matokeo lazima atafanya figisu tu kwa mwanamke mwenzie. Kwa kumtumia mtoto wake alie pale nyumbani
Je Kuna haja ya kuchukua watoto wa mume au walelewe huko huko waliko.
Sent using Jamii Forums mobile app