Mghoshingwa
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 305
- 73
ni muda mfupi tu tuko kwenye ndoa na huwa tunashirikiana tendo effectivelly! juzi mke wangu aliona matone machache ya damu mithiri ya hedhi lakini muda wa hedhi ulishapita na alipata hedhi. Pia ananiambia mapigo ya moyo yanaenda sana mbio na anakosa nguvu. Tafadhali wadau naomba kufahamu ni kitu gani? je ni dalili za mimba? bado hatujaenda kupima bado coz ni siku kama ya tatu tangia dalili hizi zijitokeze.