Je, kuna aina ya wadudu wanaosababisha AMIBA ambao wanaweza kupanda moja kwa moja kwenye mapafu na kusababisha mtu kushindwa kupumua pia kukohoa damu?

Remediogabikwa

New Member
Apr 24, 2019
2
0
Ninaumwa kifua miaka 3 sasa ilionekana uvimbe kwenye pafu la kulia lkn wakipima hawaoni kitu, ninashindwa kupumua na ninakohoa damu! Ila awali nilipima wakasema nina wadudu wengi wa amiba ambao wamepanda kwenye pafu! Sasa nilitumia dawa zaid ya mara 7 ila sikupata nafuu! Mpaka sasa ninashindwa kupumua kabisa na ninakaa sehemu moja siwezi kutembea! Naomba ushauri jamani.
 
Ninaumwa kifua miaka 3 sasa ilionekana uvimbe kwenye pafu la kulia lkn wakipima hawaoni kitu, ninashindwa kupumua na ninakohoa damu! Ila awali nilipima wakasema nina wadudu wengi wa amiba ambao wamepanda kwenye pafu! Sasa nilitumia dawa zaid ya mara 7 ila sikupata nafuu! Mpaka sasa ninashindwa kupumua kabisa na ninakaa sehemu moja siwezi kutembea! Naomba ushauri jamani.
Ni kweli kwamba Mtu anaweza kupata Amoeba ya mapafu lakini ni mara chache sana

Na dalili zako ni pamoja na
. Kifua kuuma
. Kushindwa kupumua vizuri
. Kukohoa inaweza ikawa kikohoz kikavu au chenye makohoz ya kawaida, yenye damu, au yenye usaa

Mara nyingi Amoeba ya mapafu inakuwa kwa mfumo wa usaa (abscess) na ugonjwa unagundulika kwa kufanyia uchunguzi usaa wanaoutoa kwenye mapafu au wanaweza kupima damu..

Swali kwako ni njia gani ya kiuchunguz walitumia katika kujua kuwa una hiyo shida???

Na ulipata matibabu gani?

Ushauri
Tatizo ulilonalo linaweza likawa Amoeba au likawa ni tatizo lingine or inaweza ulikuwa na Amoeba na Tatizo lingine,
So nashauri umuone uende hospital zinatoa matibabu ya kibingwa kama hujawahi kwenda
 
Ni kweli kwamba Mtu anaweza kupata Amoeba ya mapafu lakini ni mara chache sana

Na dalili zako ni pamoja na
. Kifua kuuma
. Kushindwa kupumua vizuri
. Kukohoa inaweza ikawa kikohoz kikavu au chenye makohoz ya kawaida, yenye damu, au yenye usaa

Mara nyingi Amoeba ya mapafu inakuwa kwa mfumo wa usaa (abscess) na ugonjwa unagundulika kwa kufanyia uchunguzi usaa wanaoutoa kwenye mapafu au wanaweza kupima damu..

Swali kwako ni njia gani ya kiuchunguz walitumia katika kujua kuwa una hiyo shida???

Na ulipata matibabu gani?

Ushauri
Tatizo ulilonalo linaweza likawa Amoeba au likawa ni tatizo lingine or inaweza ulikuwa na Amoeba na Tatizo lingine,
So nashauri umuone uende hospital zinatoa matibabu ya kibingwa kama hujawahi kwenda
Baada ya kufanya kipimo cha CT-Scan ilionesha uvimbe wa pafu doctor alisuggest nifanye bronchoscopy, baada ya hapo nilienda tena BUGANDO HOSPITAL ili kupata rufaa ya kwenda MUHIMBILI, lakini nilipo kutana na specialist: Prof, Maalu alinielekeza kufanya kipimo cha CT-guided BIOPSY! Baada ya kipimo hicho majibu yalitoka lakini niliambiwa hakikuonekana kitu! Lakini mimi kadri siku zinaenda ninazidi kudhoofika na kuwa na hali mbaya kabisa hasa kushindwa kupumua! Naomba msaada zaidi kwa maelezo hayo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom