Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,139
Mtu atamwacha baba na mama na kumfwata mumewe
alichokiunga MUNGU mwanadamu awezi kukitengenisha
Tangu Mwanzo mpaka kitabu cha ufunuo sijaona Mungu aliumba kaka na dada ama mjomba na shangazi ama babamkubwa na mdogo
aliumba mke na mume..sasa basi hizi talaka za kila siku zinazoendelea kutolewa mahakamani ni sawa???wewe uliolewa ujaolewa kwa bahati mbaya
warumi 5:14,17
itakusaidia zaidi...kabla dhambi aijaingia kulikuwa na mfumo wa utawala ..ambao mtu alikuwa akitumia sura ya Mungu kutawala ..Mtu aliumbwa atawale ulimwengu huu...mfumo wa zamani ulikuwa dunian lakini mufmo mzima toka mbinguni ndio maana ukisali unasema ufalme wake uje mapenzi yake yatimizwe ..uwezi kuja ufalme wa Mungu wakati unatimiza mapenzi ya shetani hata siku moja...
Embu kama mnatarajia kwenda kuachana wiki ijayo kaeni mkafikirie kwanza maandiko ya Mungu yanasemaje
Jumapili njema
alichokiunga MUNGU mwanadamu awezi kukitengenisha
Tangu Mwanzo mpaka kitabu cha ufunuo sijaona Mungu aliumba kaka na dada ama mjomba na shangazi ama babamkubwa na mdogo
aliumba mke na mume..sasa basi hizi talaka za kila siku zinazoendelea kutolewa mahakamani ni sawa???wewe uliolewa ujaolewa kwa bahati mbaya
warumi 5:14,17
itakusaidia zaidi...kabla dhambi aijaingia kulikuwa na mfumo wa utawala ..ambao mtu alikuwa akitumia sura ya Mungu kutawala ..Mtu aliumbwa atawale ulimwengu huu...mfumo wa zamani ulikuwa dunian lakini mufmo mzima toka mbinguni ndio maana ukisali unasema ufalme wake uje mapenzi yake yatimizwe ..uwezi kuja ufalme wa Mungu wakati unatimiza mapenzi ya shetani hata siku moja...
Embu kama mnatarajia kwenda kuachana wiki ijayo kaeni mkafikirie kwanza maandiko ya Mungu yanasemaje
Jumapili njema