johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,745
- 139,524
Najaribu kujiuliza tu ni wakati gani Bunge linaweza kutumia fedha za walipakodi kwa mujibu wa kanuni zake kulikagua Ofisi ya Ukaguzi ya Taifa.
Pili ni vigezo gani hutumika kumpata mkaguzi atakayekagua NAO/CAG na hasa ikizingatiwa kuwa Ofisi inayokaguliwa ( NAO) imesheheni wabobezi wa Uhasibu na Ukaguzi?
Na tatu, baada ya kukaguliwa ripoti ya ukaguzi anapelekewa nani kwa ajili ya hatua zaidi au utekelezaji?
Msaada kwenye tuta tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Pili ni vigezo gani hutumika kumpata mkaguzi atakayekagua NAO/CAG na hasa ikizingatiwa kuwa Ofisi inayokaguliwa ( NAO) imesheheni wabobezi wa Uhasibu na Ukaguzi?
Na tatu, baada ya kukaguliwa ripoti ya ukaguzi anapelekewa nani kwa ajili ya hatua zaidi au utekelezaji?
Msaada kwenye tuta tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!