Mzee wa hat-trick
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,730
- 2,388
Kiuhalisia, kiasi tunachokidai ni kikubwa sana, haijalishi kampuni hyo inapata faida kiasi gani. Ila hela ikishaingia mfukoni, tena toka miaka mingi iliyopita, ukija kuidai leo, ni ngumu sana kulipwa. Yawezekana kweli ni haki yetu kabisa, ila mfumo ulikosewa toka mwanzo, so kufukua makaburi hakutasaidia kwa sasa.
Kwa sasa wamesema hawana hiyo hela ya kulipa, na hakuna anayejua hii ishu itaishaje. Na kwa kaliba ya mkuu, nadhani haitakuwa na mwisho mzuri, hasa kwa sababu kwamba, moja ana hasira by nature, na ya pili alishatuaminisha watanzania kwamba TUMESHINDA na kubeza upinzani na wote waliokuwa wanaleta hoja hasi dhidi ya ishu nzima ya makinikia na mikataba ya madini.
Nadhani serikali ingetaka zaidi kuanza NEW TERMS na hawa jamaa bila kujali tulishaibiwa kiasi gani, ili kuanza kupata mapato stahiki na kwa wakati. Hii ni kwa sababu:
1. Uwezekano wa wao kulipa trilion zaidi ya 400 ni mdogo sana au haupo kabisa.
2. Wakiamua kususa na kuondoka watatuachia mashimo tu migodini ambayo kwa hali ya uchumi wetu wa sasa HATUWEZI kuendesha shughuli za uchimbaji kwa sababu hatuna vifaa vya kisasa.
Ingekuwa ni busara sn kukubali yaliyopita kuliko kuingia katika mgogoro mwingine ambao mwisho wake ni kama giza.
Ni bora tungewatumia hao tunaowaita "wabobezi wa sheri" kupitia upya mikataba ya madini, tungeangalia the best way kuachana nayo na kutengeneza upya sheria za madini na kuanza kufaidika kwa kiasi fulani.
Kwa sasa wamesema hawana hiyo hela ya kulipa, na hakuna anayejua hii ishu itaishaje. Na kwa kaliba ya mkuu, nadhani haitakuwa na mwisho mzuri, hasa kwa sababu kwamba, moja ana hasira by nature, na ya pili alishatuaminisha watanzania kwamba TUMESHINDA na kubeza upinzani na wote waliokuwa wanaleta hoja hasi dhidi ya ishu nzima ya makinikia na mikataba ya madini.
Nadhani serikali ingetaka zaidi kuanza NEW TERMS na hawa jamaa bila kujali tulishaibiwa kiasi gani, ili kuanza kupata mapato stahiki na kwa wakati. Hii ni kwa sababu:
1. Uwezekano wa wao kulipa trilion zaidi ya 400 ni mdogo sana au haupo kabisa.
2. Wakiamua kususa na kuondoka watatuachia mashimo tu migodini ambayo kwa hali ya uchumi wetu wa sasa HATUWEZI kuendesha shughuli za uchimbaji kwa sababu hatuna vifaa vya kisasa.
Ingekuwa ni busara sn kukubali yaliyopita kuliko kuingia katika mgogoro mwingine ambao mwisho wake ni kama giza.
Ni bora tungewatumia hao tunaowaita "wabobezi wa sheri" kupitia upya mikataba ya madini, tungeangalia the best way kuachana nayo na kutengeneza upya sheria za madini na kuanza kufaidika kwa kiasi fulani.