Ndugu wanajamii suala hili limekuwa likinipa taabu sana, inawezekanaje Rais kuondoka nchini wakati nchi yake ikiwa katika wakati fulani mgumu aidha kisiasa au kijamii. Raisi Kikwete mara baada tu ya mabomu kulipuka kule gongo la mboto aliondoka nchini, sasa hivi pia kaona maandamano yamepamba moto huko kanda ya ziwa kaondoka nchini.
Swali linakunja; Je hali hii inamaanisha kuwa JK anayadharau matukio haya au hukimbia kwenda kupumzisha akili nje ya nchi? naomba maoni yako mwana JF.
Swali linakunja; Je hali hii inamaanisha kuwa JK anayadharau matukio haya au hukimbia kwenda kupumzisha akili nje ya nchi? naomba maoni yako mwana JF.