Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
hapa inazungumzwa watu ambao wamekonda
sasa najua unajua tofauti ya kuwa mwembamba kiasili
na kukonda haswaa baada ya matatizo
Sijui boss....sikutanii sijui kweli.
Kwa kumuona tu hatuwezi kumjua au vipi?