Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhhhhhUkiacha kukosa, Kama hujaridhika pia unaeza appeal lkn Uwe na strong evidence Kama vifo vya wazaz (certificates) shule ulosoma haitozi Ada kubwa na km hizo
N:B kuna jamaa alipata 60% akaapeal akapunguziwa had 50%
Kama una shida ya kweli hupotezi kitu kwa ku-appeal bali ujue probability ya wao kukubaliana na wewe ni ndogo kwani (1) hujui kwa nini wamekupa walichokupa au wamekunyima, sasa hapo unajitetea vipi? (2) walisha weka ukomo wa wanafunzi 30000 na wameshatoa kwa kama 29000 na ushee hivyo labda wapate hela ya nyongeza wataweza kusaidia wachache zaidi kupitia appeal. Kwa hiyo appeal lakini jitayarishe na mkakati mwingine.Mkuu kuapeal ni kupoteza muda jipange tu
Samahani mkuu kwa chuo kama udsm kwa maisha ya kawaida tu,kwa mtu ambae hajapata mkopo anaweza akatumia kama kiasi gani cha pesa kwa siku,kwa maisha ya kawaida tu yasio na makuu mengi,ushauri wako unaitajika mkuu.Kama una shida ya kweli hupotezi kitu kwa ku-appeal bali ujue probability ya wao kukubaliana na wewe ni ndogo kwani (1) hujui kwa nini wamekupa walichokupa au wamekunyima, sasa hapo unajitetea vipi? (2) walisha weka ukomo wa wanafunzi 30000 na wameshatoa kwa kama 29000 na ushee hivyo labda wapate hela ya nyongeza wataweza kusaidia wachache zaidi kupitia appeal. Kwa hiyo appeal lakini jitayarishe na mkakati mwingine.
Samahani mkuu kwa chuo kama udsm kwa maisha ya kawaida tu,kwa mtu ambae hajapata mkopo anaweza akatumia kama kiasi gani cha pesa kwa siku,kwa maisha ya kawaida tu yasio na makuu mengi,ushauri wako unaitajika mkuu.
No extra commentsKama una shida ya kweli hupotezi kitu kwa ku-appeal bali ujue probability ya wao kukubaliana na wewe ni ndogo kwani (1) hujui kwa nini wamekupa walichokupa au wamekunyima, sasa hapo unajitetea vipi? (2) walisha weka ukomo wa wanafunzi 30000 na wameshatoa kwa kama 29000 na ushee hivyo labda wapate hela ya nyongeza wataweza kusaidia wachache zaidi kupitia appeal. Kwa hiyo appeal lakini jitayarishe na mkakati mwingine.
Samahani mkuu kwa chuo kama udsm kwa maisha ya kawaida tu,kwa mtu ambae hajapata mkopo anaweza akatumia kama kiasi gani cha pesa kwa siku,kwa maisha ya kawaida tu yasio na makuu mengi,ushauri wako unaitajika mkuu.
Sawa mkuu,Ngoja wenye uzoefu, tuwaombe watueleze kwa kina. Ni swali safi kabisa.