Gazeti la serikali lilitangaza jina kwa jina je ! Chadema hawqkuona??Nilivyomsikia anasema vile,nikajua Mchezo umeisha
Mahakama,chadema hawatoki,tume uchaguzi ndo hakuna jipya,
alafu ni kama calculated move,Huku ACT Wamemaliza znz,huku bara wamemaliza kesi pia..
Ushawahi ona nyoka mwenye njaa anamtetea PANYA asiliwe na paka?Wanawake 19 Hawana Wasi Wasi Wowote
Ccm Ikiwa Upande Wako Unadhani Nini Kitatokea!
Hapo Sasa Hivi Ndiyo Kwenye Kilima Kinashushwa
Kwenye Bonde Panajazwa!!!😀😁😂😅😄😐😃
Nasema Uongo Ndugu Zangu
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Dunia imshangae mara ngapi?Spika Ndugai amesema yeye ameshawaapisha wabunge 19 wa Chadema na kwamba kamwe hatawafukuza kwa sababu akiwafukuza dunia nzima itamshangaa na ataingizwa kwenye orodha ya maajabu ya dunia.
Kufuatia kauli hii ya Spika Ndugai kuna haja tena ya Halima Mdee na wenzake 18 kuhangaika kudai kurejeshewa uanachama wao huko Chadema?
Maendeleo hayana vyama!
Haijawahi kumshangaa!Dunia imshangae mara ngapi?
Hivi Spika hajui kuwa akina Halima walifanya uhuni? Kweli tusimshangae?Haijawahi kumshangaa!
Hata mwenye afya mbovu ya akili huwaona wapita njia wote ndo wendawazimu!!Haijawahi kumshangaa!
Nakuunga mkono kwa 100%Chadema wameshafanya jukumu lao, basi. Kazi ya kumtoa mtu bungeni au kumbakisha kwa sababu yoyote ile iwe inafuata sheria au inakiuka si jukumu la chadema.
Sijasikia wala kuona popote chadema wamesema akina Halima wafutwe ubunge. Hili ni suala la kikatiba, kuwa Mbunge kwa tiketi ya chama, na si takwa la chadema.
Mjue tu pamoja na kushangilia, kuwabakiza hao bungeni ni kuvunja waziwazi sheria za nchi, na kwakuwa awamu hii si jambo geni kuvunja sheria, hakuna wa kushangaa.
waendelee kwa tiketi ya spika wa bunge la ccmSpika Ndugai amesema yeye ameshawaapisha wabunge 19 wa Chadema na kwamba kamwe hatawafukuza kwa sababu akiwafukuza dunia nzima itamshangaa na ataingizwa kwenye orodha ya maajabu ya dunia.
Kufuatia kauli hii ya Spika Ndugai kuna haja tena ya Halima Mdee na wenzake 18 kuhangaika kudai kurejeshewa uanachama wao huko CHADEMA?
Maendeleo hayana vyama!
Kuna bunge lipo sehemu gani?Spika Ndugai amesema yeye ameshawaapisha wabunge 19 wa Chadema na kwamba kamwe hatawafukuza kwa sababu akiwafukuza dunia nzima itamshangaa na ataingizwa kwenye orodha ya maajabu ya dunia.
Kufuatia kauli hii ya Spika Ndugai kuna haja tena ya Halima Mdee na wenzake 18 kuhangaika kudai kurejeshewa uanachama wao huko CHADEMA?
Maendeleo hayana vyama!
Surewaendelee kwa tiketi ya spika wa bunge la ccm
Safi sana umetoa lecture iliyonyooka yaan kama ccm tu walivyomfukuza Sofia Simba!Chadema wameshafanya jukumu lao, basi. Kazi ya kumtoa mtu bungeni au kumbakisha kwa sababu yoyote ile iwe inafuata sheria au inakiuka si jukumu la chadema.
Sijasikia wala kuona popote chadema wamesema akina Halima wafutwe ubunge. Hili ni suala la kikatiba, kuwa Mbunge kwa tiketi ya chama, na si takwa la chadema.
Mjue tu pamoja na kushangilia, kuwabakiza hao bungeni ni kuvunja waziwazi sheria za nchi, na kwakuwa awamu hii si jambo geni kuvunja sheria, hakuna wa kushangaa.