Je, kufanya mapenzi na kukojoa nje kwa Wanaume hupunguza nguvu za Kiume?

Kennedy

JF-Expert Member
Dec 28, 2011
49,015
54,296
Salam!

Wataalam na Madokta wa jukwaa hili, kuna jamaa mmoja kwa msisitizo kabisa alikuwa anasimulia kuwa Wanaume wanaofanya mapenzi kama njia ya kuzuia mimba kwa kufanya mapenzi na kukojoa nje ni makosa kitaalam.

Inatakiwa unapofikia mshindo mwanaume unatakiwa umwage ndani ndiyo tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume halitakukabili pia anasema kukojoa nje na kupiga punyeto hakuna tofauti.

Anasema unamwaga nje kuna mishipa katika sehemu za siri za mwanaume lazima ziminywe na sehemu za siri za mwanamke ndiyo hutapungukiwa nguvu.

Tafadhali wajuzi naomba kueleweshwa kuna ukweli wowote hapo maana kuna wadau wanatumia njia hii kama ya kupanga uzazi.


Baadhi ya maoni yaliyotolewa na wadau wa JF
Kennedy,
Njia hii kitaalam hujulikana kama COITUS INTERUPTUS au WITHDRAWAL METHOD au PULL-OUT METHOD.

Mpaka sasa hakuna taarifa/ uthibitisho wa kisayansi unaoonyesha kuwa njia hii inaweza kupunguza kwa nguvu za kiume.

So go for it !!!
---
Kennedy, Huwezi kuizuia mimba kwa kukojolea nje unajidanganya. Kama wewe ni mwanaume unayezalisha hata tone moja tu la manii linamvimbisha mtu wakati ukishakojoa na kuendelea na mapenzi manii huendelea kuvuja ukeni sasa hiyo formula kakudanganya nani.

Mwanamke akiwa kwenye joto la mimba hata ukikojoa chini akazichota na kidole akaingiza ukeni anabeba mimba. Msicheze na manii za mwanaume mzima ni zaidi ya mabomu ya Kim.
Zipo njia za kuzuia kubeba mimba za kisasa na za kienyeji na kila moja ina madhara yake.

1.uzazi wa mpango.
i. Kalenda;hii ni nzuri kwa wasomi sana na ikiwa mzunguko wa mwanamke ni sawa haubadiliki ovyo.
Ni rahisi kubeba mimba hasa ukisahau au ukiugua ghafla tarehe zikachange.
Ni nzuri pia kwa kuwa kiafya utakuwa salama.

ii. Pills, sindano na vitanzi.
Zinafaa kwa wote wasomi na wasio wasomi pia husaidia kuondoa hofu kwa wazazi.
Husogeza kuzazi mbali kiasi kwamba mtu aweza acha kutumia ili azae na akashindwa kubeba mimba.
Hutungisha mauvimbe mwilini na kuleta kansa kadhaa mwilini ikiwa zimekutana na mpambano mwingine mwilini.
Nchi nyingi za ulaya huzalisha dawa hizi kama sehemu yao ya biashara na nchi nyingine zimepigwa marufuku kwa sababu za kiimani kidini au kiafya.

2.za asili.
i. Mitishamba.
Kuna imani kuwa mwanamke akishazaa hutumia baadhi ya mizizi ili kuzuia mimba. Hii haiko biologically sana kwa kuwa tafiti kamili hazijathibitika.

ii. Damu ya hedhi.
Matumizi ya damu ya hedhi ya awali ya mwanamke yanayowekwa pamoja na mizizi kadhaa ya mti unaoteleza kisha kuwekwa ktk tete na kufungwa juu na gundi ya nyuki ambapo mlengwa huamua kuficha kwa kufukia ardhini mahali atakapokumbuka au kuficha ajuavyo. Dawa hii huenda na manuizi.
Humhakikishia kutobeba mimba vyovyote iwavyo.
Madhara yake ni kwamba kuna wengine husahau alipofukia pindi atakapohitaji kupasua au kufunua ili abebe mimba na hivyo kuishia na idadi ya watoto alionao.

Mazingira aliyoficha mfano kufukiwa yaweza kuharibiwa bila yeye kujua na kujikuta kabeba mimba ikiwa kalikatwa alipoweka.

Ni mbinu inayoaminika sana japo haina biological facts sana zaidi ya kuonekana kama uchawi.
Asilimia kubwa ya watu wameshindwa kuzaa kubeba mimba kwa kuwa tu walishindwa kutunza nguo zao za bridi wakiwa mabinti hivyo kuchukuliwa na watu wabaya. Makabila yote huhimiza mtoto wa kike kuficha bridi yake nadhani siri yake ni hapo hapo.

Zipo mila ambazo zaweza kuwa dhambi na zile zisizo dhambi kwa MUNGU. Naomba nisifafanuliwe vibaya au kuonekana tofauti kwa ufafanuzi huu.

Mtu aliyeabudu dini zote anaujua ukweli zaidi kuliko aliyeabudu ktk dini moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salam! Wataalam na Madokta wa jukwaa hili,kuna jamaa mmoja kwa msisitizo kabisa alikuwa anasimulia kuwa Wanaume wanaofanya mapenzi kama njia ya kuzuia mimba kwa kufanya mapenzi na kukojoa nje ni makosa kitaalam. Inatakiwa unapofikia mshindo mwanaume unatakiwa umwage ndani ndiyo tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume halitakukabili pia anasema kukojoa nje na kupiga punyeto hakuna tofauti. Anasema unamwaga nje kuna mishipa ktk sehemu za siri za mwanaume lzm ziminywe na sehemu za siri za mwanamke ndiyo hutapungukiwa nguvu . Tafadhali wajuzi naomba kueleweshwa kuna ukweli wowote hapo maana kuna wadau wanatumia njia hii kama ya kupanga uzazi.
Mkuu Kennedy Kuna Raha gani kufanya tendo la mapenzi kisha

wakati wa kumwaga manii unatoa nje? Ni sawsawa na kulima shamba kubwa pasipo na kumwagilia maji? Je hilo shamba

kweli litaota matunda? Hapo penye maandishi ya mekundu ninakujibu hivi kuna njia nyingi tu za kuzuia mimba sio hiyo ya kumwaga nje wakati wa kukojoa shahawa mkuu.

Kukojoa nje na kupiga Punyeto ni vitu 2 Tofauti kabisa kukojoa nje ni kama unajidhulumu wewe mwenyewe raha zako nakupiga Punyeto mwisho wake utakuwa na upungufu wa Nguvu za kiume mwisho wa kupiga

Punyeto ni kumtafuta Mzizimkavu akupe dawa ya kuongeza Nguvu za kiume mkuu, achana na maneno ya mitaani hayo.

Ukitaka mpenzi wako asipate Mimba kuna njia bora ya kuzuia Mimba isiweze kuingia nayo ni kufuata Tarehe kukwepa

siku mbaya huo ndio ushauri wangu ngojea Wenzangu Wataalam zaidi yangu waje kukufahamisha zaidi asante.
 
Last edited by a moderator:
Mmenikumbusha wakati wa ujana wangu nilikuwa na demu kila tukienda cheza mechi anataka nikojoe nje ili aone manii zinavyoruka, basi nikipiga nikifika point namwambia nakojoa mwenzangu ndiyo ananipiga pini na miguu kabisa sitoki wala nini na yeye hapo hapo anaunga, akimaliza anaanza kunilaumu kwa nini sijatoa akaona hahahaha ilikuwa kama kitendawili vile
 
MziziMkavu,
Mzizi mkavu umekimbia swali. Maana swali linauliza kama nguvu za kiume zinapungua kwa kutoa nje, wewe unasema raha haipo ukitoa nje. Sasa jibu la nguvu za kiume halijajibiwa.

Mimi binafasi naweza kusema withdrawal ni njia mojawapo inayoshauriwa kitaalamu kabisa ya kupanga njia za uzazi. Na hakuna popote inapoeleza kwamba kwa kufanya hivyo unapunguza nguvu za kiume. Na hata hiyo punyeto sidhani kama athari zake zipo sawasawa kwa watu wote. Maana kuna wengine walianza huo mchezo tangu wapo primary na hadi leo wana miaka 50 bado wanaendelea nao na hizo nguvu hazikuwahi kupungua.

Madhara yatokanayo na ngono ni kama yale ya sigara. Wakati mwingine anakufa bado mdogo na tunaambiwa tatizo ni uvutaji wa sigara, maelfu kwa mamia wanaishi hadi wanazeeka wakiwa wanavuta sigara. Na hao wasiovuta wanakufa kabla yao. Kwa hiyo naweza kusema kinachokudhuru wewe si lazima sana kimdhuru na mwingine sawasawa.

Kama kuchomoa ndiyo njia rahisi kwako kwa ajili ya kucontrol birth wewe endelea nayo tu. Kama ingekuwa ina madhara ya moja kwa moja kama unavyoambiwa basi isingeshauriwa kama njia ya kuzuia mimba.
 
Lukolo, Mkuu Lukolo Sijakimbia

swali mbona mengine nimemjibu? mkuu kupiga punyeto kuna athiri sana nguvu zako za kiume ukisikia mtu anakuambia
alikuwa anapiga punyeto tangu yupo kijana mdogo na mpaka sasa anazo nguvu zake za kiume ujuwe huyo mtu anakuongopea hasemi ukweli wa mambo.

Maneno yake huyo Mtu ni ya Uongo mtupu mimi ninapata kesi nyingi watu wananiletea za upungufu wa nguvu za
kiume kutokana na kupiga Punyeto.

Sasa kama wewe bado unapiga Punyeto ninakungojea wakati wa kuoa mke utakaposhindwa kumshughulikia Mke wako ndipo utanitafuta nikupe Dawa za kurudisha nguvu zako za kiume.

ninayoyajibu maswali ya maana ili watu wengine wapate kupata faida mkuu samahani kuna thread nyingi humu ndani
kwangu huwa ninaziona ni za kipuuzi huwa sizijibu naangalia na kupita njia tu ninachojibu ujuwe kwa watu wengine

wanapata muangaza wa elimu yangu niliyokuwa nayo sio kila kitu nikijibu samahani mkuu.
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu bado hujajibu swali la nguvu za kiume kupungua kutokana na kutoa nje. Binafsi sioni kama hilo swali ni la kipuuzi. Hiki ni kitu ambacho familia nyingi sana zinakifanya. Ni vyema ukaisaidia jamii juu ya hilo.

Kama kuna scientific proof kwamba nguvu za kiume zinapungua kutokana na kutoa nje basi tulijue hilo pia. Kuhusu hayo matatizo ya punyeto tutajadili wakati mwingine kwenye PM kwa sasa tusaidiane kuweka sawa hili ambalo limeletwa barazani.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu shukrani kwa kuchangia japo najua kuna utata bado wa nguvu za kiume unapokojoa nje. Najua wataalam wengine nao watakuja kutujuza vizuri maana wengi twatumia style huenda kwa kutojua chochote.
 
Wakuu huwa najitahidi sana kuepuka mimba zisizotarajiwa, so huwa natumia njia ya asili na ya kawaida kabisa kukojoa nje ya uke.

Sasa je hii njia haiwezi kuniletea matatizo ya uzazi au matatizo mengine kama kipungukiwa na nguvu? maana ni muda mrefu sana naitumia.
 
Hiyo kitu haikuumbwa iteseke kumwagia nje. Ni kwamba msiwe mnatiatiana ovyo pasipo kuheshimu kalenda. Lakini utamu wa mtiano ni kuiacha mashine imwagie panapostahili
 
Back
Top Bottom