Habari wakuu, Naomba kuuliza kama yanayosemwa na watu wengi kuwa kucha husababisha "k" kutema.. kuna picha mbali mbali Zari ameonekana na kucha ndefu, swali. Ni je kucha ndefu ndio chanzo cha Hamisa kuzaa na Diamond??
Msaada jamani napenda kujifunza vitu vipya.. ili nikoa mke asifuge mikucha..
Msaada jamani napenda kujifunza vitu vipya.. ili nikoa mke asifuge mikucha..