Ryan Herman
Member
- Jul 26, 2019
- 42
- 46
Habari wanaJF,
Ongezeko la matumizi ya mitandao ya kijamii limekuwa kwa kasi kwa sasa. Hii imepelekea watumiaji kuwa wengi pia na wengi wao wakiwa ni vijana.
Watu wengi wamekuwa wakianzisha mawasiliano kupitia mitandano ya kijamii. Mawasiliano hayo hupelekea wengine hadi kuanzisha urafiki au mahusiano ya kimapenzi Kabla ya kukutana ana kwa ana na hutumiana picha zao na husifiana pia.
Je, nisahihi kuanzisha mahusiano ya kimapenzi na mtu mliyekutana mtandaoni?
Je, ni nini madhara ya kuwa kwenye mahusiano?
Ongezeko la matumizi ya mitandao ya kijamii limekuwa kwa kasi kwa sasa. Hii imepelekea watumiaji kuwa wengi pia na wengi wao wakiwa ni vijana.
Watu wengi wamekuwa wakianzisha mawasiliano kupitia mitandano ya kijamii. Mawasiliano hayo hupelekea wengine hadi kuanzisha urafiki au mahusiano ya kimapenzi Kabla ya kukutana ana kwa ana na hutumiana picha zao na husifiana pia.
Je, nisahihi kuanzisha mahusiano ya kimapenzi na mtu mliyekutana mtandaoni?
Je, ni nini madhara ya kuwa kwenye mahusiano?