Je kuandamana kwa wazee wa eac sio vurugu?

ben genious

Senior Member
Jun 4, 2011
176
23
Imekuwa ni kawaida kwa vijana wa CDM wanapondama kulamika udhalimu wa matatizo mbalimbali unaosababiswa na serikali kuonekana wanaleta vurugu,na wa kwanza kulalamika katika hili ni wazee eti vijana wnataka kusababisha uvunjifu wa amani, wahuni na wavuta bangi wa vjiweni,je kitendo cha wao kutaka kuzuia msafara wa rais si sawa na vurugu tena uvunjifu wa amani?
 
Back
Top Bottom