gm man
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,179
- 1,453
Wakuu,
Kama kichwa cha habari kinvyo jieleza hapo..je kosa la kanisa liko wapi juu ya waraka ule??????
Tujaribu kukumbuka kuwa kanisa siku zote limekuwa likihubiri amani na upendo..kanisa limekuwa likiiombea serikali kila kuicha..kanisa limekuwa likiombea amani ya nchi kila kukicha..kanisa limekuwa likiwasihi viongozi kuongoza katika hali ya usawa na kweli..
Kwakuwa mm ni muumini wa dhehebu la KKKT naomba niwakumbushe hili wale wote wanaopingana na waraka ule
Ibada katika kanisa la KKKT huwa muongoza ibada anapo elekea kufunga ibada huwa anasema "ulimwenguni pote,uwabariki watawalao,tukae na amani,hasa tunamwombea raisi wetu wa jamuuri ya muungano wa tanzania(taja jina),mawaziri na wote wenye mamlaka katika nchi hii watawale katika haki na kweli.twakusihi" (maneno haya yapo katika kitabu cha tumwabudu mungu page 350.. )...
Kwa maneno hayo tu inajitosheleza kuona jinsi ambavyo kanisa limekuwa likihubiri amani na upendo..waraka ule ulikuwa ni wakukemea matendo yote ambayo yanakinzana na mahubiri ya kanisa ambayo ni upendo na amani…
swali lakujiuliza kama kanisa huwa linaombea taifa liwe katika amani na kuwaombea viongozi wanchi watawale katika haki na kweli... je kanisa haliruhusiwi kukosoa pale linapoona viongozi hawa hawatawali katika haki na kweli???????
Kama kichwa cha habari kinvyo jieleza hapo..je kosa la kanisa liko wapi juu ya waraka ule??????
Tujaribu kukumbuka kuwa kanisa siku zote limekuwa likihubiri amani na upendo..kanisa limekuwa likiiombea serikali kila kuicha..kanisa limekuwa likiombea amani ya nchi kila kukicha..kanisa limekuwa likiwasihi viongozi kuongoza katika hali ya usawa na kweli..
Kwakuwa mm ni muumini wa dhehebu la KKKT naomba niwakumbushe hili wale wote wanaopingana na waraka ule
Ibada katika kanisa la KKKT huwa muongoza ibada anapo elekea kufunga ibada huwa anasema "ulimwenguni pote,uwabariki watawalao,tukae na amani,hasa tunamwombea raisi wetu wa jamuuri ya muungano wa tanzania(taja jina),mawaziri na wote wenye mamlaka katika nchi hii watawale katika haki na kweli.twakusihi" (maneno haya yapo katika kitabu cha tumwabudu mungu page 350.. )...
Kwa maneno hayo tu inajitosheleza kuona jinsi ambavyo kanisa limekuwa likihubiri amani na upendo..waraka ule ulikuwa ni wakukemea matendo yote ambayo yanakinzana na mahubiri ya kanisa ambayo ni upendo na amani…
swali lakujiuliza kama kanisa huwa linaombea taifa liwe katika amani na kuwaombea viongozi wanchi watawale katika haki na kweli... je kanisa haliruhusiwi kukosoa pale linapoona viongozi hawa hawatawali katika haki na kweli???????