Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 48,937
- 54,157
Salam kwa wote.Kuna jamaa yangu japo si dokta alikuwa anaongea kwauhakika kuwa mwanamke anaweza kusafishwa kizazi kwa kutolewa na kurudishwa tena. Dokta na wajuzi kuna kisa huyu jamaa yangu kanisimulia kuwa kuna mtu mmoja mwanaume alikuwa na sehemu za siri kubwa sana.Alifanya mapenzi na msichana mmoja wakati anatoa dushelele kwa msichana dushelele ikatoka na kizazi kikaanguka chini.Jamaa anadai kuwa kile kizazi cha msichana kisingeanguka chini wataalamu wangekirudisha sehemu yake.Napenda kujulishwa inawezekana kweli dushelele kubwa kutoa kizazi mpaka kudondoka chini kwenye sakafu.