Leslie Mbena
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 207
- 677
JE KIRUSI CHA CORONA KINA KASI IPI YA KUJIBADILISHA?
Leo 16:30hrs 07/03/2021
Nianze kwa maswali fikirishi,Je kuna umuhimu wa watu kupata chanjo ikiwa kinga yako ni imara? Chanjo ina phase 4,uchukua miaka 5 hadi 10 kupita phase zote 4 kwa majaribio hadi kupata chanjo ambayo ina majibu yote ya madhara atayopata mtu baada ya chanjo,je chanjo hii imefikisha Miaka miwili, je ipo kwenye phase ya ngapi? Je, itamuangamiza kila kirusi anayejibadili kutoka kirusi kimoja kwenda kingine?
Mwili wa binadamu umeundwa na trilioni za seli, ndani ya kila seli kuna kiini ambacho kina aina 23 za chromosomes zinazobeba habari za maumbile ya mwili wa mwanadamu, kwenye chromosomes kuna urithi(vinasaba),nusu ya urithi kutoka kwa Mama na nusu kutoka kwa Baba,urithi huo tunauita DNA, ambayo inajumuisha kemikali inayoitwa deoxyribonucleic acid (DNA)
Taarifa zote za jinsi miili yetu inavyojengeka na kufanya kazi inabebwa kwenye hizo DNA. Kazi zote za miili yetu inafanyika kwenye saitoplasm ya seli zetu,kazi zote zinazofanyika kwenye kwenye mwili zinafanyika kwa maelekezo na usimamizi wa DNA,Ili DNA iweze kusimamia kazi inayofanyika kwenye saitoplasm huwa inatengeneza molecule ya Ribonucleic acid -RNA na kuituma huko kwenye saitoplasm kwenda kusimamia kazi husika,
Kirusi cha corona kinapoingia kwenye mwili wa mwanadamu,kinaingia kwa mfumo wa RNA ili kwenda kumchanganya DNA,kirusi iko cha corona kinakwenda kufanya kazi ya RNA ile ambayo imeundwa na DNA lakini inakwenda kufanya kazi kinyume nyume kwa kuleta majanga,tofauti na RNA inayoundwa na DNA ambayo inapokea maelekezo toka DNA, kirusi iko cha corona hakipokei maelekezo bali kinafanya kazi ya corona kwenda kuharibu mapafu na kugandisha damu mwilini.
Kama kilivyo kirusi cha mafua ambacho uwa kinabadilika kwenye kitambaa cha makamasi na kuzalisha kirusi kingine (new strain)nacho kirusi cha corona uwa kinabadilika,pengine kila mwaka tutahitajika kupata chanjo mpya ya kirusi fulani cha corona,kama ilivyo kwa kirusi cha mafua ambacho hutengenezwa kulinda watu kutokana na virusi vitatu au vinne vinavyoweza kusababisha ugonjwa huo wa mafua katika msimu wa mafua unaofauta,lakini hata wakati chanjo hailingani na virusi hivi ambavyo vinabadilika,je tutakuwa na chanjo za aina ngapi kwa virusi hivi vinavyobadilika badilika?
Chanjo zinatolewa kwa utaratibu maalum wa doses zake,dose ya kwanza ni ya kushtua tu (activate or prime) hizo seli za askari wa kinga (T memory & B memory cells),dose ya kwanza haikupi kinga yoyote, unahitaji doses zingine baada ya kipindi fulani (booster doses),kwa hizi chanjo za covid-19 unahitaji dose ya pili baada ya wiki 4 kwa Moderna na AstraZeneca na wiki 3 kwa zile chanjo za aina nyingine,hapo ndipo tunasema umepata chanjo (fully vaccinated) itakayoweza kukukinga usipate ugonjwa huo kwa kipindi fulani - kipindi hiki kwa kawaida ni miezi 6 ambapo utalazimika kupata booster dose nyingine.
Kinga uchukua takriban wiki 3 hadi 4 kwa kinga kuundwa mwilini
baada ya kupokea chanjo,na kinga hudumu katika msimu mmoja pengine kwa miezi sita,Masharti ya chanjo hizi za bure ni kwamba zichanje watu wenye afya nzuri walio na umri wa miaka 18 hadi 45.Wasiwe na magonjwa mengine ye yote including morbid obesity.Wamediriki hata kutuamuru kuwa watu hawa wawe ni walimu na polisi wetu,achana na ile chanjo ya kuuzwa dola mbili na lazima uchanjwe mara mbili jumla dola 4 watayopewa wagonjwa,wazee na manesi,wauguzi.
Kwa nini wanataka watu wa aina hii ndiyo tuwachanje wakati watu wa aina hii miili yao iko imara kukabili virusi vya corona kwa asilimia 99.9%?
Kwa mjanja atagundua kuwa wanataka kuwafanyia a phase IV clinical trial watu hawa ambayo matokeo yake yanaweza kuondoa wasi wasi walionao watu wao huko ughaibuni kuhusu hizi chanjo.
Wanatusubiri sisi tuchanjane,hadi sasa nchi 10 za Afrika zimekubali 'msaada' huu na faster faster zimepelekewa hizo chanjo na wameanza kuchanjana,Nchi inayokataa au kusuasua kupokea 'msaada' huu inaandamwa kinoma na inachukuliwa kama adui. Sisi hatujaukataa bali tumewaambia watupe muda wa wanasayansi wetu kufanya uchambuzi na utafiti. Loo ona mashinikizo tunayoyapata hadi kutoka kwa watu tunaowaheshimu sana. Tupeni muda kidogo. Uamuzi tutatoa bila kushinikizwa tuzitoe wapi na tumchanje nani,Black people have higher immunity than other races and species.
Kimkokotenge,nitoe maswali elekezi,chanjo hizi hazijapitia hatua zote nne yaani phase 1 hadi phase 4, Zimekuwa fast-tracked!! zingepitia hatua zote zingetumia miaka 10 kukamilika,lakini sasa zimetumia miezi 10 tu,kwa sababu hiyo maswali yafuatayo hayana majibu:
1. Nini athari za muda mrefu za chanjo hizi?
2. Je Kinga inayotokana na chanjo hizi itadumu katika miwili wa mwanadamu kwa muda gani?
3.Je chanjo hizi zinaweza kumkinga mtu dhidi ya aina nyingine ya kirusi cha corona?
4.Je Makampuni yaliyotengeneza chanjo hizo,yako tayari kuwajibika na athari za vifo,kuzimia,kuvimba mwili,mabaka mwilini,na athari kwenye vinasaba katika vizazi vijavyo?
Ikumbukwe kuwa kila siku aina nyingine ya virusi vya korona vinatokea kama matokeo ya mutation (mabadiliko katika mpangilio amino acids kwenye vinasaba vya virusi vya Corona),Mfano chanjo iliyoagizwa mwanzo na Afrika ya kusini haikuweza kudhibiti aina mpya ya corona iliyotokea Afrika ya kusini,wamepata hasara na inabidi watafute nchi ya kuiuzia!
5. Corona ni lengo linalotembea yaani it is the moving target! Je virus vya Corona vina kasi ipi ya kujibadilisha?
Nimalizie kwa tafiti mbalimbali zinazoendelea za dawa ya ukimwi (ARV) kuweza kutumika kukinga kirusi cha corona,ikiwa kirusi cha Ukimwi ni cha RNA chenye genetic code 9 na kirusi cha corona nacho ni cha RNA chenye genetic codes 56 ambacho gamba lake la protein linaweza kuharibiwa na sabuni ya kuogea au kunawia mikono,hata joto la nyuzi 45 hadi 56 huweza kukisambaratisha kirusi iko,Sasa kikiwa kimeshaingia ndani,kwa nini tusitumie ARV kukiua kirusi iko kwa sifa nilizozitaja hapo juu,
Kwa Wamama wajawazito ni shida sana ukipata kirusi cha corona kwa kuwa kinga ya mwili inakuwa imeshuka na kirusi iko kitakushambulia kwa urahisi zaidi na kukushinda,kwa mtu mwenye kinga ya mwili imara hana shida maana kinga ya mwili ina uwezo wa kukipiga na kukiua,ila kwa wenye kisukari na magonjwa mengine yenye kushusha kinga ya mwili,kirusi cha corona kikiingia kinakwenda kugandisha damu,shida ya damu kuganda,utapowekewa mtungi wa oxygen 100% ikiingia mwilini mashine itasoma 70 kurudi chini maana oxygen inatopaswa kubebwa na damu,haitabebwa tena kuzungushwa sehemu mbalimbali za mwili,hivyo basi kusababusha vifo vya wapendwa wetu,
Tukumbuke barakoa zinazotoka Ulaya nazo zimeanza kuleta allergies za mafua na kupiga chafya,muhimu tuwekeze kwenye kinga ya mwili,tengeneza juice ya mboga mboga,changanya vitu viwili tu either karoti na mchicha au matembele na karoti,Mungu analo kusudi hadi pale mataifa yote yatapopiga magoti mbele zake ndipo dawa itapatikana,kumbuka Mungu alipomuumba mwanadamu alimpulizia pumzi ya uhai puani na ukajengeka mfumo wa upumuaji katika mwili wa binadamu,yeyote atae jaribu kuharibu mfumo huo,hiyo ni vita yake na Mungu aliyetengeneza mfumo wa upumuaji katika mwili wa Binadamu.
Nikiishia hapa,Mimi ni
Leslie Mbena,
Dar es Salaam.
0755078854.
-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.
Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Leo 16:30hrs 07/03/2021
Nianze kwa maswali fikirishi,Je kuna umuhimu wa watu kupata chanjo ikiwa kinga yako ni imara? Chanjo ina phase 4,uchukua miaka 5 hadi 10 kupita phase zote 4 kwa majaribio hadi kupata chanjo ambayo ina majibu yote ya madhara atayopata mtu baada ya chanjo,je chanjo hii imefikisha Miaka miwili, je ipo kwenye phase ya ngapi? Je, itamuangamiza kila kirusi anayejibadili kutoka kirusi kimoja kwenda kingine?
Mwili wa binadamu umeundwa na trilioni za seli, ndani ya kila seli kuna kiini ambacho kina aina 23 za chromosomes zinazobeba habari za maumbile ya mwili wa mwanadamu, kwenye chromosomes kuna urithi(vinasaba),nusu ya urithi kutoka kwa Mama na nusu kutoka kwa Baba,urithi huo tunauita DNA, ambayo inajumuisha kemikali inayoitwa deoxyribonucleic acid (DNA)
Taarifa zote za jinsi miili yetu inavyojengeka na kufanya kazi inabebwa kwenye hizo DNA. Kazi zote za miili yetu inafanyika kwenye saitoplasm ya seli zetu,kazi zote zinazofanyika kwenye kwenye mwili zinafanyika kwa maelekezo na usimamizi wa DNA,Ili DNA iweze kusimamia kazi inayofanyika kwenye saitoplasm huwa inatengeneza molecule ya Ribonucleic acid -RNA na kuituma huko kwenye saitoplasm kwenda kusimamia kazi husika,
Kirusi cha corona kinapoingia kwenye mwili wa mwanadamu,kinaingia kwa mfumo wa RNA ili kwenda kumchanganya DNA,kirusi iko cha corona kinakwenda kufanya kazi ya RNA ile ambayo imeundwa na DNA lakini inakwenda kufanya kazi kinyume nyume kwa kuleta majanga,tofauti na RNA inayoundwa na DNA ambayo inapokea maelekezo toka DNA, kirusi iko cha corona hakipokei maelekezo bali kinafanya kazi ya corona kwenda kuharibu mapafu na kugandisha damu mwilini.
Kama kilivyo kirusi cha mafua ambacho uwa kinabadilika kwenye kitambaa cha makamasi na kuzalisha kirusi kingine (new strain)nacho kirusi cha corona uwa kinabadilika,pengine kila mwaka tutahitajika kupata chanjo mpya ya kirusi fulani cha corona,kama ilivyo kwa kirusi cha mafua ambacho hutengenezwa kulinda watu kutokana na virusi vitatu au vinne vinavyoweza kusababisha ugonjwa huo wa mafua katika msimu wa mafua unaofauta,lakini hata wakati chanjo hailingani na virusi hivi ambavyo vinabadilika,je tutakuwa na chanjo za aina ngapi kwa virusi hivi vinavyobadilika badilika?
Chanjo zinatolewa kwa utaratibu maalum wa doses zake,dose ya kwanza ni ya kushtua tu (activate or prime) hizo seli za askari wa kinga (T memory & B memory cells),dose ya kwanza haikupi kinga yoyote, unahitaji doses zingine baada ya kipindi fulani (booster doses),kwa hizi chanjo za covid-19 unahitaji dose ya pili baada ya wiki 4 kwa Moderna na AstraZeneca na wiki 3 kwa zile chanjo za aina nyingine,hapo ndipo tunasema umepata chanjo (fully vaccinated) itakayoweza kukukinga usipate ugonjwa huo kwa kipindi fulani - kipindi hiki kwa kawaida ni miezi 6 ambapo utalazimika kupata booster dose nyingine.
Kinga uchukua takriban wiki 3 hadi 4 kwa kinga kuundwa mwilini
baada ya kupokea chanjo,na kinga hudumu katika msimu mmoja pengine kwa miezi sita,Masharti ya chanjo hizi za bure ni kwamba zichanje watu wenye afya nzuri walio na umri wa miaka 18 hadi 45.Wasiwe na magonjwa mengine ye yote including morbid obesity.Wamediriki hata kutuamuru kuwa watu hawa wawe ni walimu na polisi wetu,achana na ile chanjo ya kuuzwa dola mbili na lazima uchanjwe mara mbili jumla dola 4 watayopewa wagonjwa,wazee na manesi,wauguzi.
Kwa nini wanataka watu wa aina hii ndiyo tuwachanje wakati watu wa aina hii miili yao iko imara kukabili virusi vya corona kwa asilimia 99.9%?
Kwa mjanja atagundua kuwa wanataka kuwafanyia a phase IV clinical trial watu hawa ambayo matokeo yake yanaweza kuondoa wasi wasi walionao watu wao huko ughaibuni kuhusu hizi chanjo.
Wanatusubiri sisi tuchanjane,hadi sasa nchi 10 za Afrika zimekubali 'msaada' huu na faster faster zimepelekewa hizo chanjo na wameanza kuchanjana,Nchi inayokataa au kusuasua kupokea 'msaada' huu inaandamwa kinoma na inachukuliwa kama adui. Sisi hatujaukataa bali tumewaambia watupe muda wa wanasayansi wetu kufanya uchambuzi na utafiti. Loo ona mashinikizo tunayoyapata hadi kutoka kwa watu tunaowaheshimu sana. Tupeni muda kidogo. Uamuzi tutatoa bila kushinikizwa tuzitoe wapi na tumchanje nani,Black people have higher immunity than other races and species.
Kimkokotenge,nitoe maswali elekezi,chanjo hizi hazijapitia hatua zote nne yaani phase 1 hadi phase 4, Zimekuwa fast-tracked!! zingepitia hatua zote zingetumia miaka 10 kukamilika,lakini sasa zimetumia miezi 10 tu,kwa sababu hiyo maswali yafuatayo hayana majibu:
1. Nini athari za muda mrefu za chanjo hizi?
2. Je Kinga inayotokana na chanjo hizi itadumu katika miwili wa mwanadamu kwa muda gani?
3.Je chanjo hizi zinaweza kumkinga mtu dhidi ya aina nyingine ya kirusi cha corona?
4.Je Makampuni yaliyotengeneza chanjo hizo,yako tayari kuwajibika na athari za vifo,kuzimia,kuvimba mwili,mabaka mwilini,na athari kwenye vinasaba katika vizazi vijavyo?
Ikumbukwe kuwa kila siku aina nyingine ya virusi vya korona vinatokea kama matokeo ya mutation (mabadiliko katika mpangilio amino acids kwenye vinasaba vya virusi vya Corona),Mfano chanjo iliyoagizwa mwanzo na Afrika ya kusini haikuweza kudhibiti aina mpya ya corona iliyotokea Afrika ya kusini,wamepata hasara na inabidi watafute nchi ya kuiuzia!
5. Corona ni lengo linalotembea yaani it is the moving target! Je virus vya Corona vina kasi ipi ya kujibadilisha?
Nimalizie kwa tafiti mbalimbali zinazoendelea za dawa ya ukimwi (ARV) kuweza kutumika kukinga kirusi cha corona,ikiwa kirusi cha Ukimwi ni cha RNA chenye genetic code 9 na kirusi cha corona nacho ni cha RNA chenye genetic codes 56 ambacho gamba lake la protein linaweza kuharibiwa na sabuni ya kuogea au kunawia mikono,hata joto la nyuzi 45 hadi 56 huweza kukisambaratisha kirusi iko,Sasa kikiwa kimeshaingia ndani,kwa nini tusitumie ARV kukiua kirusi iko kwa sifa nilizozitaja hapo juu,
Kwa Wamama wajawazito ni shida sana ukipata kirusi cha corona kwa kuwa kinga ya mwili inakuwa imeshuka na kirusi iko kitakushambulia kwa urahisi zaidi na kukushinda,kwa mtu mwenye kinga ya mwili imara hana shida maana kinga ya mwili ina uwezo wa kukipiga na kukiua,ila kwa wenye kisukari na magonjwa mengine yenye kushusha kinga ya mwili,kirusi cha corona kikiingia kinakwenda kugandisha damu,shida ya damu kuganda,utapowekewa mtungi wa oxygen 100% ikiingia mwilini mashine itasoma 70 kurudi chini maana oxygen inatopaswa kubebwa na damu,haitabebwa tena kuzungushwa sehemu mbalimbali za mwili,hivyo basi kusababusha vifo vya wapendwa wetu,
Tukumbuke barakoa zinazotoka Ulaya nazo zimeanza kuleta allergies za mafua na kupiga chafya,muhimu tuwekeze kwenye kinga ya mwili,tengeneza juice ya mboga mboga,changanya vitu viwili tu either karoti na mchicha au matembele na karoti,Mungu analo kusudi hadi pale mataifa yote yatapopiga magoti mbele zake ndipo dawa itapatikana,kumbuka Mungu alipomuumba mwanadamu alimpulizia pumzi ya uhai puani na ukajengeka mfumo wa upumuaji katika mwili wa binadamu,yeyote atae jaribu kuharibu mfumo huo,hiyo ni vita yake na Mungu aliyetengeneza mfumo wa upumuaji katika mwili wa Binadamu.
Nikiishia hapa,Mimi ni
Leslie Mbena,
Dar es Salaam.
0755078854.
-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.
Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.