Je, kipi cha kuanza nacho kati ya kuomba mkopo na kuomba chuo?

Calvin 45

Member
Aug 7, 2019
7
0
Wakuu habari za muda huu, mimi ni muhitimu wa diploma mwaka huu nahitaji kuendelea na elimu ya juu.

Nilikuwa naomba kufahamishwa je nilazima ukiwa unaomba mkopo wa elimu ya juu uwe umedahiliwa na university, ama unaweza omba tu mkopo hata kama hujapata chuo.

Maana yake naona kama muda ni mchache sana ukisema uombe chuo alafu usubiri hadi ukubaliwe ndy uombe mkopo.

MSAADA WENU NI MUHIMU SANA WAKUU.
 
Maombi ya chuo raundi ya kwanza SI yamefungwa okay jibu ni Kuwa unaomba chuo na mkopo kwa pamoja mkuu then unasubli majibu ukishachaguliwa na chuo wanatuma jina lako BODI ya MKOPO Kama unasifa ya kupata mkopo wanakupa ila kigezo cha kwanza cha kupata MKOPO ni mpaka uwe umepata chuo

So ni unaomba pamoja na unatulia kusubir majibu na sio uombe chuo ndo uombe mkopo Kama siku zipo sawa unaweza subr upate chuo ndo utume maombi ya mkopo
 
Omba chuo kwanza maana kule kwenye mkopo utaulizwa chuo unachoenda kusoma/chuo ulichochaguliwa kama sikosei
 
Maombi ya chuo raundi ya kwanza SI yamefungwa okay jibu ni Kuwa unaomba chuo na mkopo kwa pamoja mkuu then unasubli majibu ukishachaguliwa na chuo wanatuma jina lako BODI ya MKOPO Kama unasifa ya kupata mkopo wanakupa ila kigezo cha kwanza cha kupata MKOPO ni mpaka uwe umepata chuo

So ni unaomba pamoja na unatulia kusubir majibu na sio uombe chuo ndo uombe mkopo Kama siku zipo sawa unaweza subr upate chuo ndo utume maombi ya mkopo
ufafanuzi kama huu unahitajika sana kwa watu wenye uhitaji.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom