Daaaah! Unakuta unaangalia unaona mchubuko kwa penis na wakati ulitumia condom na haikupasuka, sasa hapo shida nini sijui.!acha kutumia condom za bei rahisi, unakuta mwanaume unatumia ndom ja hero kweli? si afadhari uende kavu tuu
Sio kama unabaka, una-pump haraka haraka tu, wengine sex za kichovu hatuwezi tumeshazoea za kibabe lakini.!Usifanye mapenz kama unabaka, kaa tulia muandae binti alowe chapa chapa, kisha vaa kondomu chomeka chomoa.
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Mbona easy kupata hii kituPEP utaratibu wa kuipata ni mrefu sana? Je, zinatolewa kila hospitali au ni private au public hospitals tu? Unaweza kupata kwa masharti yapi hizo PEP?
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Ni ndani ya masaa72 unapewa yakizidi hapo imeisha hiyooutaratibu ya kuzipata ni kwamba zinatolewa Hospitali ya serikali tu, ukifika unapimwa Ngwengwe then kama huna Ngwengwe ndio unapewa PEP endapo tukio lako limetokea ndani ya 24hrs
Hatariousupo sahihi Mkuu,nilishauriwa hivi hata Hospitali,ni ushauri Mzuri mana wanasema hzi dawa huaribu ini
Na kuchokakumbe !! mimi waliniambia eti ni 24, lakini hizi mambo zinaleta njaa sana
Hahahhaahaha aiseeee hard hii kitu huwa n moto na wanaume wachache wanamuduSio kama unabaka, una-pump haraka haraka tu, wengine sex za kichovu hatuwezi tumeshazoea za kibabe lakini.!
Na huna mpango tena!?sikumbuki mara ya mwisho nilitumia lini
, je vipi kama ikitokea umefanya na demu asiyeathirika, ila ukapata mchubuko, na ulitumia kinga kwa usahihi, je, utapata NGOMA?
Na je, kama ukifanya na muathirika kwa kutumia kinga, ila ukapata michubuko, bila kinga kupasuka, je, kuna uwezekano wa kupata NGOMA?
Hatukufanikiwa kufikia muafaka kwa kweli, ni mada pana, wajuzi njooni.! Najua wapo wengi humu wenye madhila kama hayo.!
kabisa Mkuu,yaelekea unazipata vizuriNa kuchoka
RRacha kutumia condom za bei rahisi, unakuta mwanaume unatumia ndom ja hero kweli? si afadhari uende kavu tuu
Uliowaona kwenye tv na vipeperushi ila sio kwenye realitiesJe, na wale wanaokonda na kubaki mifupa mitupu kisa ngoma?!