Je, kinga (Kondomu) ni salama kiasi gani dhidi ya magonjwa ya ngono?

Zee Korofi

JF-Expert Member
Oct 5, 2021
1,612
1,410
Week iliyopita nilikuwa naongea na ofisa mmoja wa serikali, ni rafiki yangu tulikuwa tunajadili suala la hizi condoms, je vipi kama ikitokea umefanya na demu asiyeathirika, ila ukapata mchubuko, na ulitumia kinga kwa usahihi, je, utapata NGOMA?

Hakuna uwezekano wowote wa kupandikizwa NGOMA kwenye baadhi ya hizi kinga tunazotumia ili tukipata michubuko hata kama hatuku-sex na waathirika, basi tuipate NGOMA kupitia yale mafuta yake?

Na je, kama ukifanya na muathirika kwa kutumia kinga, ila ukapata michubuko, bila kinga kupasuka, je, kuna uwezekano wa kupata NGOMA?

Hatukufanikiwa kufikia muafaka kwa kweli, ni mada pana, wajuzi njooni! Najua wapo wengi humu wenye madhila kama hayo.!
 
Duuuh so unashauro condom tuzitupilie mbali?

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Ikiwezekana aseee,pia kama utaweza pigia bafuni huku mnaoga,hii namnukuu Jackob Zuma na lile sakata lake na changudoa mwathirika, alisema baada ya kupiga mzigo alienda kunawa na maji,ndo ikawa pona yake..
Hii ni kweli kirusi hakisurvive kwenye maji
 
Ikiwezekana aseee,pia kama utaweza pigia bafuni huku mnaoga,hii namnukuu Jackob Zuma na lile sakata lake na changudoa mwathirika, alisema baada ya kupiga mzigo alienda kunawa na maji,ndo ikawa pona yake..
Hii ni kweli kirusi hakisurvive kwenye maji
Daaaah Zuma kumbe naye ni mtata eeeh? Mchizi alipiga kavu itakuwa, hakutumia kinga kabisa!

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
PEP utaratibu wa kuipata ni mrefu sana? Je, zinatolewa kila hospitali au ni private au public hospitals tu? Unaweza kupata kwa masharti yapi hizo PEP?

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
utaratibu ya kuzipata ni kwamba zinatolewa Hospitali ya serikali tu, ukifika unapimwa Ngwengwe then kama huna Ngwengwe ndio unapewa PEP endapo tukio lako limetokea ndani ya 24hrs
 
natumia kwa tahadhari tu Boss.sina uhakika kama anao ila simuamini tu mtu yeyote
Sawa, ila ungempima kama huna uhakika nae. Kukimbilia kumeza hizo tembe inakuwa sio nzuri, alafu pia unafubaza kinga ya mwili.
Binadamu tumeumbwa tukiwa tumekamili kila sector... wenye biashara zao ndio huwa wanajaza watu hofu kama ilivyo kwenye huu ugongwa wa mafua.
 
Sawa, ila ungempima kama huna uhakika nae. Kukimbilia kumeza hizo tembe inakuwa sio nzuri, alafu pia unafubaza kinga ya mwili.
Binadamu tumeumbwa tukiwa tumekamili kila sector... wenye biashara zao ndio huwa wanajaza watu hofu kama ilivyo kwenye huu ugongwa wa mafua.
upo sahihi Mkuu,nilishauriwa hivi hata Hospitali,ni ushauri Mzuri mana wanasema hzi dawa huaribu ini
 
Hakuna ukimwi unadanganywa ni hadithi tu za kutishia watoto ili wasifanye michezo hiyo
 
Back
Top Bottom