Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,238
- 31,148
It means yeye ni raia 100%, hata baba yake alikuwa raia kama maelezo yako ni facts achilia mbali ya kwamba angeweza kuwa raia hata kama baba yake angekuwa raia wa nchi nyingine na hata kama angekuwa amezaliwa na kukulia nje. Yaani uraia wa mama yake tu unatosha kabisa kumbeba, siasa ndiyo huwa zinaingizwa kama namna ya kunyamazisha watu.Baba yake msomali mama yake ni mbulu lakini baba yake ni msomali aliyezaliwa tanzania