Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Mimi nadahani hapa suala si kwamba eti mtu yeyote ambaye hayuko madarakani kwa sasa basi yeye hana "elements" za ufisadi, la hasha! Ufisadi (greed) ni tabia binafsi ya mtu na inaweza kuonekana hata kama hajaiba mali ya umma.
Viongozi wa vyama vya upinzani tunaweza kuhoji tabia zao kutokana na maisha wanayoishi sasa na kugundua yupi mwenye sifa za ufisadi. Ukiona mtu anapenda sana kujilimbikizia mali basi huyo siku akipata nafasi serikalini ataiba pesa ya umma mpaka mtakoma. Tena anaweza hata kubadili katiba ya nchi ili atawale milele. Take my words!
naona KIngunge Mwiru angejieleza vizuri kuliko wewe! rudi chuoni kule kigamboni ufundishwe propaganda maana so far unaongea pumba tupu hapa!