Je, Kinachomponza Mbowe ni Anasa?

Status
Not open for further replies.

The Fixer

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
1,365
583

Kwenu Watanzania !
Nimesoma kwa makini kabisa kinachoendelea katika sakata la kibiashara ambalo Mh Mbowe anahusishwa na ukopaji wa kupita kiasi ! Nasema wakupita kiasi kwani Mh Mbowe alikuwa anajua kabisa mwenendo wa hizi benki zetu za nyumbani katika maswala yote ya kubadilisha fedha, hali ya kibenki ilivyokuwa na mahitaji yote ya vifaa vya utengenezaji ama ukarabati wa hizo nyumba zake za kibiashara .

Sitaki kuamini kuwa eti, Ukopaji huo wa Mh Mbowe ulikuwa wa kukurupuka bila kupiga hata mahesabu,Alisoma alama za nyakati na akaamua tena akiwa na Baba Mkwe ambaye alishawahi kuwa hata Gavana wa Benki inamaana alikuwa na kila sababu ya Kufanya Mkopo huo ufikie kilele kwani kama ni ushauri wa kifedha upo nyumbani kwa Mkwe wake kwahiyo vile visingizio alivyotoa huyo Meneja wa Biashara wa Bilicanas ni visingizio vya kitoto tu !

Kilicho mgharimu Mh Mbowe ni Maisha ya ANASA aliyoyaishi.....Anayoyaishi na Yatakayo endelea kumgharimu kama hata fanya mabadiliko katika maisha yake halisi ! Mimi hapa naona swala la Mh Mbowe kiuadilifu hakuna na wala asisimame jukwaani kuhubiri yale ambayo yeye hayafanyi, Kama atahubiri Uzalendo je, yeye ni mzalendo kiasi gani ? Na kama atasema ile ni kampuni ....Sasa anataka kutuambia kuwa kampuni inaundwa na nani kama sio watu tena ni hao hao watu ambao tunawatafuta huku kwa Akina Richard Monduli na EPA na kule BOT NA KWINGINE KWING TU !......Mh Mbowe, anaendesha gari aina ya Range Rover gari yenye thamani kubwa yapata hata Milllino 120, na hiyo nyumba anayoishi ni kufuru kwani mie nimeshawahi kufika yaani kila ukipiga hatua moja kutoka getini kwake kunawaka taa ambazo kila ukiiacha hatua moja nyuma inazimika...acheni wajameni ! Yaani maisha yake ni Anasa....Anasa tupu ! Ndio maana hata shule imemshinda kabisa pale Londoni !

Mh Mbowe anataka kuishi maisha ya watu waliomtangulia mbali kama akina Mengi, Bakhressa, Manji, Hossea yule wa PCB ! Ukiwaauliza hawa wote watakwambia ni Biashara lakini Tanzania Biashara zipo nyingi bwana......Huyu Hossea mimi sisemi yaani anabonge la Nyumba hapa Mbezi utadhani ni mfanya biashara kumbe ni mwajiriwa wa serikali ila kama utamuuliza Hossea ...Sijui atakujibu nini ??

Mh Mbowe ....Acha ...Anasa ! Ulipe hayo madeni manake sisi kama wanachama na wafanyabiashara wenzako...Tumejisikia vibaya sana kwani....Uzalendo huanzia Nyumbani !

EVEN FOOLS WE'RE RIGHT SOMETIMES !
 
Acha Anasa.....kaka Haya Maisha Tu Alafu Unapaa Na Helkopta Eti Unahubiri Uzalendo ....upi Huo Ambao Wewe Unauelekeza !
 
Acha Anasa.....kaka Haya Maisha Tu Alafu Unapaa Na Helkopta Eti Unahubiri Uzalendo ....upi Huo Ambao Wewe Unauelekeza !

... na utitiri wa mashangingi ya wabunge na viongozi wengineo yanayokunywa mafuta kuliko hata hiyo helkopta siyo anasa?!

... vipi kama hiyo chopper ingenunuliwa kwa hela kutoka mfukoni mwake lakini inamwezesha kufanya shughuli zake kichama, asiitumie?!! chicken and egg question, you have the answer!!
 
Kuishi maisha ya anasa hayo ni uamuzi wake as long as ni pesa yake. Remember you only leave once bwana, kwani wewe hupendi maisha mazuri? Kama ni deni mwambie alipe lakini kusema anaishi maisha ya anasa thats wivu. after all unaweza kukuta wewe maskini mwenzangu ndo unayaona ya anasa lakini yeye na wenzie wenye uwezo huo hapo bado kabisa.
 
Kwenu Watanzania !
Nimesoma kwa makini kabisa kinachoendelea katika sakata la kibiashara ambalo Mh Mbowe anahusishwa na ukopaji wa kupita kiasi ! Nasema wakupita kiasi kwani Mh Mbowe alikuwa anajua kabisa mwenendo wa hizi benki zetu za nyumbani katika maswala yote ya kubadilisha fedha, hali ya kibenki ilivyokuwa na mahitaji yote ya vifaa vya utengenezaji ama ukarabati wa hizo nyumba zake za kibiashara .

Sitaki kuamini kuwa eti, Ukopaji huo wa Mh Mbowe ulikuwa wa kukurupuka bila kupiga hata mahesabu,Alisoma alama za nyakati na akaamua tena akiwa na Baba Mkwe ambaye alishawahi kuwa hata Gavana wa Benki inamaana alikuwa na kila sababu ya Kufanya Mkopo huo ufikie kilele kwani kama ni ushauri wa kifedha upo nyumbani kwa Mkwe wake kwahiyo vile visingizio alivyotoa huyo Meneja wa Biashara wa Bilicanas ni visingizio vya kitoto tu !

Kilicho mgharimu Mh Mbowe ni Maisha ya ANASA aliyoyaishi.....Anayoyaishi na Yatakayo endelea kumgharimu kama hata fanya mabadiliko katika maisha yake halisi ! Mimi hapa naona swala la Mh Mbowe kiuadilifu hakuna na wala asisimame jukwaani kuhubiri yale ambayo yeye hayafanyi, Kama atahubiri Uzalendo je, yeye ni mzalendo kiasi gani ? Na kama atasema ile ni kampuni ....Sasa anataka kutuambia kuwa kampuni inaundwa na nani kama sio watu tena ni hao hao watu ambao tunawatafuta huku kwa Akina Richard Monduli na EPA na kule BOT NA KWINGINE KWING TU !......Mh Mbowe, anaendesha gari aina ya Range Rover gari yenye thamani kubwa yapata hata Milllino 120, na hiyo nyumba anayoishi ni kufuru kwani mie nimeshawahi kufika yaani kila ukipiga hatua moja kutoka getini kwake kunawaka taa ambazo kila ukiiacha hatua moja nyuma inazimika...acheni wajameni ! Yaani maisha yake ni Anasa....Anasa tupu ! Ndio maana hata shule imemshinda kabisa pale Londoni !

Mh Mbowe anataka kuishi maisha ya watu waliomtangulia mbali kama akina Mengi, Bakhressa, Manji, Hossea yule wa PCB ! Ukiwaauliza hawa wote watakwambia ni Biashara lakini Tanzania Biashara zipo nyingi bwana......Huyu Hossea mimi sisemi yaani anabonge la Nyumba hapa Mbezi utadhani ni mfanya biashara kumbe ni mwajiriwa wa serikali ila kama utamuuliza Hossea ...Sijui atakujibu nini ??

Mh Mbowe ....Acha ...Anasa ! Ulipe hayo madeni manake sisi kama wanachama na wafanyabiashara wenzako...Tumejisikia vibaya sana kwani....Uzalendo huanzia Nyumbani !

EVEN FOOLS WE'RE RIGHT SOMETIMES !

Sidhani kama kuna maana yoyote hapa, nasema hivi kwa sababu zifuatazo.
Kwa wafanya biashara kukopa pesa kwenye Mabenki ni kitu cha kawaida as long as arudishe pesa hizo, kwa sababu ni za watanzania
Pili kuishi maisha ya juu, kama unatumia akili na maarifa bila kuiba pesa ya mtu au kufanya uharifu ili kupata pesa hizo, hiyo si mbaya
Kama anatumia gari ya ghali sana lakini kaipata kialali, hiyo si tatizo
Na mwisho utajiri wa halali ahuangalii umri, inategemea na akili yako unaitumia vipi katika kutafuta, hivyo kusema anataka kuishi maisha ya akina Mengi, Hosea, hii haina maana

Na kama kuna vigezo vya kumfanya hawe tajiri labda kwa njia za udanganyifu, ndo maana tuko hapa JF, weka vielelezo tutavijadili na kumfikisha kunakotakiwa
 
The usual stuff from wana ccm. Tumewazoea. Amekopa atarudisha hakuwaibia wananchi. bank ni taasisi binafsi. Leave the guy alone.
 
.....

! Ndio maana hata shule imemshinda kabisa pale Londoni !

........

Ukiunganisha hii, ile iliyoanzishwa na chinga, ile iliyoanzishwa na yule aliyewasaidia polisi kukamata wana JF - yona maro AKA shy, utajua kinachoendelea hapa....

That's why i sing and dance with all the love to jamboforum(s)
 
Hivi hawa watu wanaomkomalia mbowe mbona mi siwaelewi? jamaa kakopa na iko kwenye maandishi na wala hajakana, tatizo liko wapi? au mnataka wahindi tu ndo wawe wanakopa kwenye financial inst zetu? mbona hawasemwi? Baldala ya kuwakomalia mafisadi walioiba EPA na Richmond and many others, tunakomaa na mbowe ambaye kakopa na hajaiba. Hii ni kujaribu kuzima ishu za BOT na Richmond, na tunawaambia halali mtu hapa hadi kieleweke. We are watching you closely
 
Hivi hawa watu wanaomkomalia mbowe mbona mi siwaelewi? jamaa kakopa na iko kwenye maandishi na wala hajakana, tatizo liko wapi? au mnataka wahindi tu ndo wawe wanakopa kwenye financial inst zetu? mbona hawasemwi? Baldala ya kuwakomalia mafisadi walioiba EPA na Richmond and many others, tunakomaa na mbowe ambaye kakopa na hajaiba. Hii ni kujaribu kuzima ishu za BOT na Richmond, na tunawaambia halali mtu hapa hadi kieleweke. We are watching you closely

Hawa jamaa naona wametumwa na hivi sasa wako Ofisini"wanalipwa kwa hizi thread zao
 
Umbumbumbu na ushabiki wa kisiasa ulinaofunika busara ya kawaida kabisa ya kibiashara.Makampuni kukopa kibiashara si jambo geni.tuna orodha ndefu sana ya wakopaji wa aina hii.Pili kushindwa kulipa deni/mkopo pia ni jambo la kawaida katika biashara (rejea kesi maarufu na ya majuzi tu ya Scandinavia Express Ltd na wadeni wake)Tofauti kubwa hapa ni kuwa Mbowe ni mwanasiasa ambaye amekuwa mwiba (yeye na CHADEMA) mkali kwa CCM/Mafisadi.Matumizi ya chopper ni swala binafsi ndani ya CHADEMA,nyumba kifahari na Vouge binafsi ni juu ya matumizi yake.Ila kinachomtofautisha Mbowe na kina Hosea,Lowassa,Rostam,Karamagi,Mkapa,Yona,Mramba,Mgonja,Ballali na timu yote ya CCM/Mafisadi ni kuwa Mbowe hajasquander mali/resources za umma.Ni jasho lake binafsi na hivyo kulipa ni yeye na taasisi husika.RAI kuandika habari ya madeni ya mtu binafsi ni ukahaba wa kisiasa uliokubuhu,headline kuuubwa as if Mbowe kakausha hazina yetu.Huko ni kutapatapa kwa kifisadi.Basi tunawataka RAI watoe orodha ya watu/wafanyibiashara/makampuni wote wanaodaiwa binafsi na taasisi binafsi katika matoleo yao yote.Otherwise huu ni ukahaba wa kiasisa na kitaaluma wa kina Balile usiokuwa na bei yoyote ile hata kwenye mnada wa Kigogo Sambusa.
 
Ukiunganisha hii, ile iliyoanzishwa na chinga, ile iliyoanzishwa na yule aliyewasaidia polisi kukamata wana JF - yona maro AKA shy, utajua kinachoendelea hapa....

That's why i sing and dance with all the love to jamboforum(s)
Mwafrika wa kike! umejumlisha vilivyo.
Nimeshangazwa sana na ujio wa kasi ya ajabu ya members wapya ambao wanafika jamvini na hoja kuu ikiwa ni kuelekeza mashambulizi yasiyo SHABAHA kwa Mbowe. KUNANI HAPO!!
 
Chokochoko mchokoe pweza binadamu watamuweza?.
si maneno yangu hayo bali ni maneno ya wahenga, ambao walihangaika,wakaumia kweli kweli kuhakikisha kizazi cha Mwafrika kinasonga mbele, lakini hawa wa sasa baadhi yao wanafanya mambo utafikiri hakuna kesho.

Mwalimu alisema "Uhuru na Maendeleo", mafisadi wakatafsiri "Wizi na upendeleo".tutasonga mbele kweli?
 
Kwenu Watanzania !
Nimesoma kwa makini kabisa kinachoendelea katika sakata la kibiashara ambalo Mh Mbowe anahusishwa na ukopaji wa kupita kiasi ! Nasema wakupita kiasi kwani Mh Mbowe alikuwa anajua kabisa mwenendo wa hizi benki zetu za nyumbani katika maswala yote ya kubadilisha fedha, hali ya kibenki ilivyokuwa na mahitaji yote ya vifaa vya utengenezaji ama ukarabati wa hizo nyumba zake za kibiashara .

Sitaki kuamini kuwa eti, Ukopaji huo wa Mh Mbowe ulikuwa wa kukurupuka bila kupiga hata mahesabu,Alisoma alama za nyakati na akaamua tena akiwa na Baba Mkwe ambaye alishawahi kuwa hata Gavana wa Benki inamaana alikuwa na kila sababu ya Kufanya Mkopo huo ufikie kilele kwani kama ni ushauri wa kifedha upo nyumbani kwa Mkwe wake kwahiyo vile visingizio alivyotoa huyo Meneja wa Biashara wa Bilicanas ni visingizio vya kitoto tu !

Kilicho mgharimu Mh Mbowe ni Maisha ya ANASA aliyoyaishi.....Anayoyaishi na Yatakayo endelea kumgharimu kama hata fanya mabadiliko katika maisha yake halisi ! Mimi hapa naona swala la Mh Mbowe kiuadilifu hakuna na wala asisimame jukwaani kuhubiri yale ambayo yeye hayafanyi, Kama atahubiri Uzalendo je, yeye ni mzalendo kiasi gani ? Na kama atasema ile ni kampuni ....Sasa anataka kutuambia kuwa kampuni inaundwa na nani kama sio watu tena ni hao hao watu ambao tunawatafuta huku kwa Akina Richard Monduli na EPA na kule BOT NA KWINGINE KWING TU !......Mh Mbowe, anaendesha gari aina ya Range Rover gari yenye thamani kubwa yapata hata Milllino 120, na hiyo nyumba anayoishi ni kufuru kwani mie nimeshawahi kufika yaani kila ukipiga hatua moja kutoka getini kwake kunawaka taa ambazo kila ukiiacha hatua moja nyuma inazimika...acheni wajameni ! Yaani maisha yake ni Anasa....Anasa tupu ! Ndio maana hata shule imemshinda kabisa pale Londoni !

Mh Mbowe anataka kuishi maisha ya watu waliomtangulia mbali kama akina Mengi, Bakhressa, Manji, Hossea yule wa PCB ! Ukiwaauliza hawa wote watakwambia ni Biashara lakini Tanzania Biashara zipo nyingi bwana......Huyu Hossea mimi sisemi yaani anabonge la Nyumba hapa Mbezi utadhani ni mfanya biashara kumbe ni mwajiriwa wa serikali ila kama utamuuliza Hossea ...Sijui atakujibu nini ??

Mh Mbowe ....Acha ...Anasa ! Ulipe hayo madeni manake sisi kama wanachama na wafanyabiashara wenzako...Tumejisikia vibaya sana kwani....Uzalendo huanzia Nyumbani !

EVEN FOOLS WE'RE RIGHT SOMETIMES !


Kama ili Tanzania iendelee inahitaji watu,basi tutakua nyuma sana.

Kwa sababu ya kuzoea kwako shida hadi unaona mwenzako anaishi maisha ya Anasa.Je,unajua hata kunwa chai ya maziwa ambayo pengine wewe unaona ni ya kawaida na haki yako kuna watu wanaiona ni anasa?

Je,Bill Gates,Warren Buffet,Mital Lakshimi hawajawahi kukopa benki? unajua kitu kinachoitwa fund and cash flow analysis?Bado unajiita mfanyabiashara halafu hujui kwamba kazi za financial institutions ni nini kwa sababu umezoe kudeposit,we unajua kazi za benki ni kudeposit tu na si chanzo cha investment funds.

Hapa India kwenyewe matajiri ndugu Anil Ambani na Mukesh Ambani walikua wanadaiwa kiwango kikubwa cha fedha na ICICI bank mpaka wizara ya fedha ikaintervine kusolve,leo hii unamshangaa mbowe kukopa benki.


Je,hata kama mbowe ameshindwa kurudisha on time,kwa nini usichukue muda kufikiria pengine mojawapo kati ya hivi viwili vilikua ni tatizo

Unfavourable Deptors collection period

Unfavourable creditors collection Period

au
Utuambie kwa nini wazo lako limekuja tu kwenye Expenditures.

kidali po,kidali po as usual
 
Umbumbumbu na ushabiki wa kisiasa ulinaofunika busara ya kawaida kabisa ya kibiashara.Makampuni kukopa kibiashara si jambo geni.tuna orodha ndefu sana ya wakopaji wa aina hii.Pili kushindwa kulipa deni/mkopo pia ni jambo la kawaida katika biashara (rejea kesi maarufu na ya majuzi tu ya Scandinavia Express Ltd na wadeni wake)Tofauti kubwa hapa ni kuwa Mbowe ni mwanasiasa ambaye amekuwa mwiba (yeye na CHADEMA) mkali kwa CCM/Mafisadi.Matumizi ya chopper ni swala binafsi ndani ya CHADEMA,nyumba kifahari na Vouge binafsi ni juu ya matumizi yake.Ila kinachomtofautisha Mbowe na kina Hosea,Lowassa,Rostam,Karamagi,Mkapa,Yona,Mramba,Mgonja,Ballali na timu yote ya CCM/Mafisadi ni kuwa Mbowe hajasquander mali/resources za umma.Ni jasho lake binafsi na hivyo kulipa ni yeye na taasisi husika.RAI kuandika habari ya madeni ya mtu binafsi ni ukahaba wa kisiasa uliokubuhu,headline kuuubwa as if Mbowe kakausha hazina yetu.Huko ni kutapatapa kwa kifisadi.Basi tunawataka RAI watoe orodha ya watu/wafanyibiashara/makampuni wote wanaodaiwa binafsi na taasisi binafsi katika matoleo yao yote.Otherwise huu ni ukahaba wa kiasisa na kitaaluma wa kina Balile usiokuwa na bei yoyote ile hata kwenye mnada wa Kigogo Sambusa.

Thanks Ibambasi,

Mimi nashangaa huyu jamaa aliyeweka hii thread hapa anamalengo gani sijui? Hivi kuishi maisha ya kifahari kwa jasho lako ni tatizo? Kukopa na tatizo? Huyu jamaa angetwambia Mbowe alipata mkopo kwa njia zisizo halali na akatoa ushahidi ningeelewa! Lakini swala la kukopa eti 1.2bil ni jambo la kawaida sana na hakuna mizengwe yoyote! Sisi (pamoja na wenzangu) tunaproject ambayo ita cost like 4bil, hii hela tunakopa kutoka moja ya taasisi za aina hiyo, na tumeshafikia hatua nzuri kabisa and hope by end of this month tunapata hela yote! So anybody can get money from there kama una idea nzuri ya biashara!

Rai ilinunuliwa na Manji kama mnakumbuka vizuri, so nafikiri wanajitahidi kurusha makombora kwa wapinzani ili kuwapoteza mwelekeo wananchi! Hakuna tutalia na hawa mafisadi mpaka dakika ya mwisho
 
Umbumbumbu na ushabiki wa kisiasa ulinaofunika busara ya kawaida kabisa ya kibiashara.Makampuni kukopa kibiashara si jambo geni.tuna orodha ndefu sana ya wakopaji wa aina hii.Pili kushindwa kulipa deni/mkopo pia ni jambo la kawaida katika biashara (rejea kesi maarufu na ya majuzi tu ya Scandinavia Express Ltd na wadeni wake)Tofauti kubwa hapa ni kuwa Mbowe ni mwanasiasa ambaye amekuwa mwiba (yeye na CHADEMA) mkali kwa CCM/Mafisadi.Matumizi ya chopper ni swala binafsi ndani ya CHADEMA,nyumba kifahari na Vouge binafsi ni juu ya matumizi yake.Ila kinachomtofautisha Mbowe na kina Hosea,Lowassa,Rostam,Karamagi,Mkapa,Yona,Mramba,Mgonja,Ballali na timu yote ya CCM/Mafisadi ni kuwa Mbowe hajasquander mali/resources za umma.Ni jasho lake binafsi na hivyo kulipa ni yeye na taasisi husika.RAI kuandika habari ya madeni ya mtu binafsi ni ukahaba wa kisiasa uliokubuhu,headline kuuubwa as if Mbowe kakausha hazina yetu.Huko ni kutapatapa kwa kifisadi.Basi tunawataka RAI watoe orodha ya watu/wafanyibiashara/makampuni wote wanaodaiwa binafsi na taasisi binafsi katika matoleo yao yote.Otherwise huu ni ukahaba wa kiasisa na kitaaluma wa kina Balile usiokuwa na bei yoyote ile hata kwenye mnada wa Kigogo Sambusa.

Kitendo cha yeye kuishi maisha ya kifahari wakati Watanzania wengi wanakosa hata pesa ya kununua dozi moja ya malaria kinaashiria kwamba hana tofauti na CCM/Mafisadi. Yaani kwa maneno mengine hajaiba pesa za umma kwa sababu hajapata nafasi hiyo. Akiipata ataiba tu, kwani anaonekana ni mtu mwenye kupenda maisha ya kifahari.
 
Kitendo cha yeye kuishi maisha ya kifahari wakati Watanzania wengi wanakosa hata pesa ya kununua dozi moja ya malaria kinaashiria kwamba hana tofauti na CCM/Mafisadi. Yaani kwa maneno mengine hajaiba pesa za umma kwa sababu hajapata nafasi hiyo. Akiipata ataiba tu, kwani anaonekana ni mtu mwenye kupenda maisha ya kifahari.

Naona karibuni utafanya kazi ya shehe Yahya aliyetabiri kuwa raisi ajaye atakuwa mwanamke kabla hajabadili na kusema kuwa atakuwa na sura ya kike (kikwete)!

Huko ccm inaonekana mna watabiri wengi sana na sio watendaji ambao wangejua kuwa Buzwagi inauzwa kwa bei ya karanga!
 
Thanks Ibambasi,

Mimi nashangaa huyu jamaa aliyeweka hii thread hapa anamalengo gani sijui? Hivi kuishi maisha ya kifahari kwa jasho lako ni tatizo? Kukopa na tatizo? Huyu jamaa angetwambia Mbowe alipata mkopo kwa njia zisizo halali na akatoa ushahidi ningeelewa! Lakini swala la kukopa eti 1.2bil ni jambo la kawaida sana na hakuna mizengwe yoyote! Sisi (pamoja na wenzangu) tunaproject ambayo ita cost like 4bil, hii hela tunakopa kutoka moja ya taasisi za aina hiyo, na tumeshafikia hatua nzuri kabisa and hope by end of this month tunapata hela yote! So anybody can get money from there kama una idea nzuri ya biashara!

Rai ilinunuliwa na Manji kama mnakumbuka vizuri, so nafikiri wanajitahidi kurusha makombora kwa wapinzani ili kuwapoteza mwelekeo wananchi! Hakuna tutalia na hawa mafisadi mpaka dakika ya mwisho

Hebu watuletee hiyo habari ya Rai tuidadavue! WanaCHADEMA walishawahi kusema hapa kuwa Mbowe aliwahi kukupa milioni 15 wakati huo ikiwa sijui nini chini ya Mkullo sasa ni NSSF toka mwaka 1990. Wakashindwana terms of repayment wakapelekana mahakamani. Baada ya mfumo wa vyama vingi kuanza CCM walianza kuitumia kesi hii kisiasa toka miaka hiyo wakimtumia jaji Manento. Wakati wote Mbowe kupitia wakurugenzi wengine wamekuwa wakiweka bayana kuwa hawana shida ya kulipa, ila hawawezi kulipa kiwango cha zaidi ya ambacho anawajibika kisheria. Na amesisitiza yuko tayari kusimamia haki yake!. Sasa wewe Balille na swahiba wako Rostam Aziz waliokutuma; tuelezeni, Mbowe amekopa lini bilioni 1.2 NSSF? Na hata kama angekopa, kuna ubaya gani? Mnadhani kwa kurusha matope kwa wapinzani ndio mtajisaficha kwa kashfa yenu ya EPA na Richmonduli?

Asha
 
Thanks Ibambasi,

Rai ilinunuliwa na Manji kama mnakumbuka vizuri, so nafikiri wanajitahidi kurusha makombora kwa wapinzani ili kuwapoteza mwelekeo wananchi! Hakuna tutalia na hawa mafisadi mpaka dakika ya mwisho

Mimi nadahani hapa suala si kwamba eti mtu yeyote ambaye hayuko madarakani kwa sasa basi yeye hana "elements" za ufisadi, la hasha! Ufisadi (greed) ni tabia binafsi ya mtu na inaweza kuonekana hata kama hajaiba mali ya umma.

Viongozi wa vyama vya upinzani tunaweza kuhoji tabia zao kutokana na maisha wanayoishi sasa na kugundua yupi mwenye sifa za ufisadi. Ukiona mtu anapenda sana kujilimbikizia mali basi huyo siku akipata nafasi serikalini ataiba pesa ya umma mpaka mtakoma. Tena anaweza hata kubadili katiba ya nchi ili atawale milele. Take my words!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom