Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,612
- 1,410
Kama kichwa kisemavyo, nimesoma historia za utajiri za baadhi ya matajiri wakubwa mno hapa TZ, nilikuwa na ndoto za kuwa tajiri kwa kufanya kazi na kutumia weledi mkubwa, ila nimekatishwa tamaa na ukweli unaoonekana kuwa wazi.
Kwanza kabisa niliwahi kukaa na mzee mmoja tukipiga stori, akaniambia kijana ukikua utaelewa nini maana ya utajiri, na hutoutaka tena.
Pia historia na mifano mbali mbali inanikatisha tamaa mno, mimi si mtu wa ndumba namtegemea Mungu TU katika ulinzi wangu ila kuna watu wanasema SIWEZI KUWA TAJIRI KWA KUMTEGEMEA MUNGU PEKEE.
Hii inakuwa vipi? Kwani siwezi kuwa tajiri hapa Bongo bila hizo mambo? Mbona kukatishana tamaa huku?
Kwanza kabisa niliwahi kukaa na mzee mmoja tukipiga stori, akaniambia kijana ukikua utaelewa nini maana ya utajiri, na hutoutaka tena.
Pia historia na mifano mbali mbali inanikatisha tamaa mno, mimi si mtu wa ndumba namtegemea Mungu TU katika ulinzi wangu ila kuna watu wanasema SIWEZI KUWA TAJIRI KWA KUMTEGEMEA MUNGU PEKEE.
Hii inakuwa vipi? Kwani siwezi kuwa tajiri hapa Bongo bila hizo mambo? Mbona kukatishana tamaa huku?