Je, kila Taifa lina shetani wake analiongoza?

kwa hiyo;
MUNGU anayeweza kukupa mamlaka na bado mamlaka hayo yakapingwa na kiumbe kingine?

kama jibu ni NDIO kwa hiyo mungu anaweza mengi na sio yote?

kama jibu ni HAPANA hao wafalme wa uajemi walipata wapi nguvu ya kumpinga malaika alietumwa na MUNGU mpaka siku 21 zinapita?
Kuna vita za nguvu mbili tu ulimwenguni, wema na ubaya. MUNGU kakupa mamlaka ya kuushinda ubaya kwa wema, Hiyo nguvu ya kuushinda wema inatoka kwa kwa mwingine. Unapoushinda wema kwa kutumia ubaya maana yake ni kuwa yule mwingine amekuwezesha na umeshinda. Unaposikia kuwa palikuwa na vita mbinguni maana yake ni kuwa wapo walioamini wanauwezo wa kumwangusha MUNGU. Na mawazo ya kupigana na MUNGU mbegu yake huanzia hapo hapo kwenye swali ulilouliza la MUNGU anaweza kweli? Ukishajiuliza uliza kinachofata yule anayetoa nguvu za kuushinda wema atakupa nguvu za kutosha na utashinda.
 
Hata Shetani mwenyewe ni ushairi tu, hayupo. Ni tungo za watu tu.


Mungu aliyeandikwa kwenye hivi vitabu kama Biblia na Quran pia hayupo.

Ni hekaya za watu tu.
Toa ushahid kama Mungu hayupo? Shetani hayupo na chanzo cha tungo hzo?
 
Tunaeleweshana tu.
Ubuntu.

Mimi nafikiri, tukichunguza sana, tutakuta habari mpya kabisa ambazo zinashangaza mara nyingi sana kuliko hadithi za Mungu.

Ukisoma Quantum Physics na relativity utaona mambo ya time and space not being absolute.

A lot of our misconceptions are narrow minded, because we are slaves to the scale of our existence in the universe.

Ukienda kwenye quantum level, kwenye cosmic levels, at the centers of black holes, kuna maajabu mengi sana bado hatujayaelewa.

Na kabla ya kuyaelewa hayo tunakimbilia hadithi ya kitoto ya Mungu kuumba vitu.
Unaamin vip kuna blackholes? Imani yako imeishia kwa vitu vinayoonekana tu kwasababu unamacho? Vip UNGEKUWA KIPOFU ungeamin wapo watu wenye macho?


NB: kama kuna viumbe vinavyoonekana,basi vipo visivyoonekana, pia.

Kiranga
 
Kuna mambo mengi tunakwenda kwa mazoea tu.

Kuna jamaa mmoja aliketq story hapa, kaenda Rukwa huko karibu na ziwa, watu hawana elimu, hawana maji safi, kipindupindu kipo nje nje. Watu wakapata kipindupindu, wakawa wanakufa, lakini wanakijiji wanashabikia uchawi, wanasema wamelogwa.

Kibaya zaidi, hata wataalam wa afya wao nao wanaamini hayo mambo, kwa sababu, hata kama wamekuja kusoma baadaye, utotoni wamelelewa katika mazingira ya kuamini uchawi. Old habits die hard.

Mimi sikatai kwamba huwnda kuna vitu hatuvioni. Mpaka miaka 500 iliyopita vijidudu kama bacteria na virus vilikuwa havionekani. Watu wakajioanga, wakasema hapa kuna vitu hatuvioni vinasababisha magonjwa. Wakatengeneza darubini nzuri mpaka wakaviona. Ikawa establishwd acientific fact. Unaweza kutest hata wewe kwa kununua darubini zinazotqkiwa kuwwza kuona bacteria na virus.

Sasa hao viumbe majini na mizimu, utathibitishaje wapo kweli na si hadithi za watu tu?

Maana huko kwetu sehemu nyingibhakuna umeme, watu wanakaa gizani usiku, watoto wanalia kwa kuogopa giza, mama zao wanasema mtoto analia kwa sababu kaona jini. Na mtoto akisikia hivyo mama yake kasemq anakua huku akiamini habari za majini, hata kama ni hekaya za uongo.

Kibaya zaidi hata kwenye vitabu vya dini vunavyoaminiwa na watu bila kuhoji wanataja mambo ya majini na uchawi. Watu wanaamini.

Ukiwataka wakupe proof ya kuwapo majini na uchawi wanashindwa.

Twende kwa proof. Tuache hekaya.

Wapi proof ya kuwepo majini?
Unaishi miaka 500 iliyopita,subir basi hadubin ya kuangalia pepo igundulike,ununue ndio uone,maana kwaakili yako ni wazi unaamin kwa kuona,na kwasababu unamacho.

Unafikiri kipofu anahaja ya kubisha hakuna virus kwasababu hata akipewa microscope aangalie hawezi ona? Ataaamin kwasababu ya matokeo yake,


Imeandikwa "kama hamniamin mm,basi aminini kazi zangu(matokeo yake)"
 
Tunaeleweshana tu.
Ubuntu.

Mimi nafikiri, tukichunguza sana, tutakuta habari mpya kabisa ambazo zinashangaza mara nyingi sana kuliko hadithi za Mungu.

Ukisoma Quantum Physics na relativity utaona mambo ya time and space not being absolute.

A lot of our misconceptions are narrow minded, because we are slaves to the scale of our existence in the universe.

Ukienda kwenye quantum level, kwenye cosmic levels, at the centers of black holes, kuna maajabu mengi sana bado hatujayaelewa.

Na kabla ya kuyaelewa hayo tunakimbilia hadithi ya kitoto ya Mungu kuumba vitu.
heri ya mwaka mpya mkuu!
 
Hata Shetani mwenyewe ni ushairi tu, hayupo. Ni tungo za watu tu.


Mungu aliyeandikwa kwenye hivi vitabu kama Biblia na Quran pia hayupo.

Ni hekaya za watu tu.
Sasa katika kanisa katoliki pale St. Francis ulikuwa unafuata nini enzi zile unasali na Nyerere!!?
 
Unaishi miaka 500 iliyopita,subir basi hadubin ya kuangalia pepo igundulike,ununue ndio uone,maana kwaakili yako ni wazi unaamin kwa kuona,na kwasababu unamacho.

Unafikiri kipofu anahaja ya kubisha hakuna virus kwasababu hata akipewa microscope aangalie hawezi ona? Ataaamin kwasababu ya matokeo yake,


Imeandikwa "kama hamniamin mm,basi aminini kazi zangu(matokeo yake)"
Hapa Harudi umegonga palepale😂😂
 
Sasa katika kanisa katoliki pale St. Francis ulikuwa unafuata nini enzi zile unasali na Nyerere!!?
St. Francis alipokuwa anasali Nyerere ndiyo wapi hapo?

Wewe mwenyewe unajua unachoandika au unabiringita kama nyungunyungu bila kutumia ubongo wala uti wa mgongo?
 
St. Francis alipokuwa anasali Nyerere ndiyo wapi hapo?

Wewe mwenyewe unajua unachoandika au unabiringita kama nyungunyungu bila kutumia ubongo wala uti wa mgongo?
Mzee ni kumbukumbu tu zinatupotea sometimes lakini kuna uzi humu unazungumzia kanisa ambalo alikuwa anasali Nyerere sikumbuki lilitajwa kanisa la St Francis au St peters(sikumbuki hasa Nyerere alikuwa anasali wapi) ..lakini ulisema umesali naye,Turudi kwenye mada umesema Mungu hakuna sasa swali langu lilikuwa ni kukuuliza huko Kanisani ulikuwa unafuata nini? Au kumshangaa Nyerere enzi hizo anaudhuria misa St Francis/St Peters..??
 
Hata Shetani mwenyewe ni ushairi tu, hayupo. Ni tungo za watu tu.


Mungu aliyeandikwa kwenye hivi vitabu kama Biblia na Quran pia hayupo.

Ni hekaya za watu tu.
Mkuu una maana ushirikina haupo au siyo?
 
Ukisoma kitabu cha Daniel. Kuna kipindi Daniel wakati yupo huko Uajemi aliamua kufunga kwa wiki tatu. Hakuoga, hakunywa pombe(divai), hakula nyama wala msosi wowote mzuri. Sasa kumbe malaika aliyekuwa ametumwa kuleta majibu wakati analeta akakutana na mkuu wa ufalme wa Uajemi, wakaanza kupigana kwa siku 21. Malaika akaelemewa hadi alipokuja Mikaeli, malaika mkuu kumsaidia. Kwa hiyo yeye akapeleka ujumbe na kumuacha Mikaeli akimalizana na mkuu wa Uajemi na waambata wake.

Sasa huyu mkuu wa ufalme wa uajemi aliyeweza kupambana na malaika na kumzidi nguvu hadi Malaika mkuu akaja kumsaidia ni nani? Inawezekana alikuwa ni binadamu? Au ni aina ya shetani?

Je, kila taifa lina shetani wake wa kuliongoza?

Hapa ni Daniel sura ya kumi kuanzia mstari wa 11 lakini ishu yenyewe ni huo mstari wa 13.

11 Akaniambia, Ee Danieli, mtu upendwaye sana, yafahamu maneno nikuambiayo, ukasimame kiwima-wima; maana kwako nimetumwa sasa. Na aliponiambia neno hili, nalisimama nikitetemeka.

12 Ndipo akaniambia, Usiogope, Danieli; kwa maana tangu siku ile ya kwanza ulipotia moyo wako ufahamu, na kujinyenyekeza mbele za Mungu wako, maneno yako yalisikiwa; nami nimekuja kwa ajili ya maneno yako.

13 Lakini mkuu wa ufalme wa Uajemi alinipinga siku ishirini na moja; bali, tazama, huyo Mikaeli, mmoja wa hao wakuu wa mbele, akaja kunisaidia; nami nikamwacha huko pamoja na wafalme wa Uajemi.

14 Sasa nimekuja kukufahamisha mambo yatakayowapata watu wako katika siku za mwisho; maana maono hayo ni ya siku nyingi bado.

15 Na alipokwisha kusema nami
Mungu anasema nalimtuma Mfalme wa Babeli mtumishi wangu Nebukadneza awatie mikononi mwake.

Kumbe yale aliyowafanya waisrael mr Nebkadineza haikuwa dhambi kwani alitumwa na Mungu kuwaadhibu wayahudi waliokengeuka.

Kimsingi Mungu na Shetani wanapendana sana na wanaelewana. Sisi ndio hutaka kuwatenganjsha
 
Hizi madhabahu zinatawaliwa na majeshi ya kipepo (wawakilishi wa shetani maana shetani ameshafungiwa kuzimu). Kazi kubwa ya hawa mapepo au "wakuu wa giza" ni kupinga au kuzuia baraka za wanadamu zinazotoka kwa Mungu "Efe 6:10-13".
Kwahiyo Mungu analet baraka shetani anazuia? Basi huyo shetani ana nguvu kweli kweli
 
Back
Top Bottom