mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Baada ya serikali kutoa tangazo la kukanusha kuwa rais hana msimamo wa kuwakingia kifua mawaziri wanaopaswa kujiuzulu, je Kikwete atarudia mazingaombwe yake kwa kumtoa sadaka waziri mkuu Mizengo Pinda kama alivyofanya kwa Edward Lowassa pale alipoguswa moja kwa moja na kashfa ya Richmond? Je pinda naye atakubali kuondoka kirahisi?