Je, Kikwete atakwenda Ethiopia kumzika Zenawi?

Lazima aende.kwa kuanzia jana watu wa itifaki wameomba bajeti ya milioni 880 ili pia akitoka adis ababa aende Antananarivo kufanya mazungumzo ya kikazi na Rajolina..its just joke
 
Mada hapa ni JK kwenda ethiopia, usichanganye mambo!
Great thinkers wanakwenda beyond na somo. Lazima uwe mdadisi pia! Hapo unaweza pia kuzungumzia Utawala wa Zenawi huko Ethiopia ulikuwaje na syo tu safari ya JK!
 
Hapo ndege ishajazwa mafuta, allowance zimewekwa Sawa wanasubiri ndugu wa marehemu wafike adis ababa
 
Baadhi ya Pro-Chadema JF wamejawa na utoto sana hivi Rais kwenda msibani nalo ni tatizo, kwa hiyo Dr Slaa, akiwa Rais hatakuwa aendi msibani.
 
Kila mganga anatoa masharti yake.Kama vile.
1-Kuwa mtembezi.
2-Kuhudhuria misiba mingi iwezekanavyo.
3-Kutokusikiliza madai muhimu ya watu.
3-Kuto kuwaajibisha watu wenye makosa.
4-Nakadhalika.
 
Sasa hivi ameshajifunza, balozi wetu aliyeko huko atawakilisha nchi kwa sababu ndio kazi yake. JK hatoenda atabaki nchini kushughulikia matatizo yetu wabongo.
 
Hapo kama namuona anavyoshangilia safari, jamaa anapenda safari kupita tulivyokuwa wadogo tulivyokuwa tunachanganyikiwa na gari likipaki mbele yako. Sitashangaa nikiona kwenye profille yake kipengele cha hobby akawa amejaza 1.kusafiri 2. Travelling 3. Tour 4. Kutalii 5. Kutembelea ndugu, jamaa na Marafiki
Duh mbona mmeyamaliza yote sasa mimi nitasema nini?
 
Kila mganga anatoa masharti yake.Kama vile.
1-Kuwa mtembezi.
2-Kuhudhuria misiba mingi iwezekanavyo.
3-Kutokusikiliza madai muhimu ya watu.
3-Kuto kuwaajibisha watu wenye makosa.
4-Nakadhalika.

kwani baada ya sheikh Yahya kufa ana mganga mwingine?
 
Baadhi ya Pro-Chadema JF wamejawa na utoto sana hivi Rais kwenda msibani nalo ni tatizo, kwa hiyo Dr Slaa, akiwa Rais hatakuwa aendi msibani.
Utajua 2015 jinsi watu serious wanavyopangilia muda na vipaumbele vya muhimu kwa wananchi.
 
Matatizo ya Tanzania yanamsaidia nini katika maisha yake, safari znamuongezea kula sasa akae hapa asipate kula?
 
Baadhi ya Pro-Chadema JF wamejawa na utoto sana hivi Rais kwenda msibani nalo ni tatizo, kwa hiyo Dr Slaa, akiwa Rais hatakuwa aendi msibani.
Tatizo sio Kuwa chama fulani jamaa safari zimezidi kwani msibani si anaweza akamtuma mzee wa kuzindua nae apate safari za nje au hata Membe anaweza kwenda kumuwakilisha. Zenawi alikuwa ni PM kwahiyo nategemea mtoto wa Mkulima angeenda kuwakilisha.
 
Hivi Tanzania kuna tatizo gani kubwa la kiasi cha kumzuia mkulu kuhudhuria mazishi ya Melles Zenawi japo kwa nusu siku?Safari nyingine kweli huwa hata mimi namshangaa akienda lakini hili la msiba nipo naye pamoja na sioni ubaya hata kidogo kwenye hilo.
 
mimi nilipendekeza kuwe na wizara ya misiba, na waziri wake awe yule mama albino
 
inaonekana moja ya agenda kubwa wananchi wa tanzania waliomchagulia jk ni kuhudhuria misiba ya viongozi barani
africa. Badala ya kukaa nchini mwake kutatua matatizo makubwa yanayoikabili nchi yeye kutwa kuhudhuria misiba. Kwa wale watakaosema ni kwa ajili ya kuimarisha diplomacy basi inabidi tujiulize kwanini marais wa kenya na uganda hawafanyi hivyo ??
hii ni sera ya chama cha mapinduzi kuhani. Ila taabu ni kuwa jk inapiga mipira yote yeye tu hana reserve wala centre forward. Hana cha mshauri.mnakumbuka alivyomuaru rubani apige kona juu kwa juu alipotoka ziara ya brazil akaelekea moja kwa eneo la tukio pale alipofariki dr. Bingu wa mutharika kwa mikogo na staili kwa kuvaa suti na mwanamke mmoja hivi sijui ni mnikulu au kimada . Infact tz tumelosti ile mbaya. Ila sisikitiki maana sikumchagua wala kushabikia toka mwanzo maana nilijua hana uwezo wa kuwa rais walakini tele.
 
Kila mganga anatoa masharti yake.Kama vile.
1-Kuwa mtembezi.
2-Kuhudhuria misiba mingi iwezekanavyo.
3-Kutokusikiliza madai muhimu ya watu.
3-Kuto kuwaajibisha watu wenye makosa.
4-Nakadhalika.

dah ndoi maana tunayaona haya yanayotokea hapa nchini
 
  • Thanks
Reactions: tz1
Back
Top Bottom