Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Katika majibu yao Ikulu imesema kuwa Rais Kikwete haitaji kununuliwa nguo na mfadhili yeyote au kupelekwa shopping. Kwamba, "toka akiwa Waziri wa Mambo ya Nje alikuwa anapokea posho ya mavazi. Na sasa kama Rais jukumu lote la mavazi yake ni la serikali"! Najiuliza hivi hadi Rais ananunuliwa nguo na wananchi wake maskini huku akipokea mshahara mnono. Kwanini asitakiwe arudishe fedha zote za kununulia nguo alizopewa na taifa lake maskini juu ya mshahara wake?
Ni wazo tu ambalo limenijia. Au kumtaka arudishe tutakuwa tunamnyima "haki" yake kwa sababu "sheria haimkatazi". Je kitu kikiwa kisheria maana yake ni kiko kimaadili? when a thing is legal does it me it is also moral and ethical? In other countries for example abortion is legal but is it moral?
Je tukijua kiasi kilichotumika kumnunulia nguo tangu akiwa FM hadi sasa kama Rais haziwezi kutosha kunaksisha madarasa kadhaa ya shule za kata?
kama anagharimiwa na kukirimiwa vitu hivi vyote na nchi yake.. gari, afya, mavazi, chakula hata kuhudumia wageni.. analipwa mshahara kwa ajili gani.. maana wengine wanalipwa mishahara kwa ajili ya kazi wanazofanya ili waendeshe maisha yao.. sasa yeye maisha yake yote yanaendeshwa na fedha za Watanzania hadi tai na viatu.. aidha mshahara wake upunguzwe au arudishe hizo fedha... nawaza tu
Ni wazo tu ambalo limenijia. Au kumtaka arudishe tutakuwa tunamnyima "haki" yake kwa sababu "sheria haimkatazi". Je kitu kikiwa kisheria maana yake ni kiko kimaadili? when a thing is legal does it me it is also moral and ethical? In other countries for example abortion is legal but is it moral?
Je tukijua kiasi kilichotumika kumnunulia nguo tangu akiwa FM hadi sasa kama Rais haziwezi kutosha kunaksisha madarasa kadhaa ya shule za kata?
kama anagharimiwa na kukirimiwa vitu hivi vyote na nchi yake.. gari, afya, mavazi, chakula hata kuhudumia wageni.. analipwa mshahara kwa ajili gani.. maana wengine wanalipwa mishahara kwa ajili ya kazi wanazofanya ili waendeshe maisha yao.. sasa yeye maisha yake yote yanaendeshwa na fedha za Watanzania hadi tai na viatu.. aidha mshahara wake upunguzwe au arudishe hizo fedha... nawaza tu