Tukiwa Bado na kizunguzungu cha Richmond naomba wadau wote na wabunge wetu katika kikao Kijacho, waanze na Report za Ufisadi ulioikumba nchi yetu katika kipindi cha BWM, na hata za Zamani kama Debt Conversion etc.
Hivyo wakiwa wanajianda na hilo naomba nipendekeze baadhi ya issue za kujadiliwa.
Report ya Madini ya Bomani na Zilizo Tangulia
Report ya Richmond
TICTS
Utekelezaji wa ushauri wa CAG
Ubadhirifu uliofanyika katika Vyama vya Ushirika vilizo pelekea Serekali kuchukua madeni ya hivyo Vyama wakati walaji wapo na wana julikana lakini wabeba mzigo ni sisi sote
Kuna Mswada wa Kufuta Queries za CAg za Pesa Nyingi tu ili zisijirudie, yaani ili serekali iache kupata hati chafu, sasa baada ya kufuta hizo expenditure je ni hatua gani zimechukulia dhidi ya hao wabadhirifu. etc
Wenye kashafa au masuala ya kujadiliwa naomba tuwasilishe hapa Jamvini.
Hivyo wakiwa wanajianda na hilo naomba nipendekeze baadhi ya issue za kujadiliwa.
Report ya Madini ya Bomani na Zilizo Tangulia
Report ya Richmond
TICTS
Utekelezaji wa ushauri wa CAG
Ubadhirifu uliofanyika katika Vyama vya Ushirika vilizo pelekea Serekali kuchukua madeni ya hivyo Vyama wakati walaji wapo na wana julikana lakini wabeba mzigo ni sisi sote
Kuna Mswada wa Kufuta Queries za CAg za Pesa Nyingi tu ili zisijirudie, yaani ili serekali iache kupata hati chafu, sasa baada ya kufuta hizo expenditure je ni hatua gani zimechukulia dhidi ya hao wabadhirifu. etc
Wenye kashafa au masuala ya kujadiliwa naomba tuwasilishe hapa Jamvini.