Je, kifo cha Mitume kilileta ukombozi gani kwa walimwengu?, Kwanini Mungu hajawaokoa, Mungu ni katili na hana huruma?

Bonde la Baraka

JF-Expert Member
Sep 22, 2016
4,580
7,938
Kwa mujibu wa maandiko(Biblia) ni kifo cha Yesu Kristo tu ndicho kimebeba ukombozi kwa mwanadamu.
Hakuna binadamu mwingine mwenye jina au damu inayoweza kumkomboa mwanadamu isipokuwa Yesu.
Sasa kwanini Mitume karibu wote ukimwondoa Yohana aliyepewa ufunuo waliuwawa kinyama?
Mungu alishindwa kuzuia?
Je, Mungu haangalii mateso na shida za watu wake wawapo hapa duniani?
 
Unamuongelea mtume muhamadi. Alikuwa na wake wengi kumbuka. Kaleta wokovu kwa wanawake maana kama wanaume tungekuwa tunaowa mke mmoja tu wengine wangeolewa na wanyama.
 
Mambo ya mbingu hayategemei umaridadi wa uelewa wa kidunia! Inahitajika tafsiri ya kiroho ili kuelewa hayo vinginevyo utaukana ukweli na kuuacha ulivyo na ualisia wake MF aonavyo Mungu so kama binadamu aonavyo,binadamu aonavyo kifo kama tendon bays na LA kutisha kwa Mungu in kama usingizi,unapoona mateso kama adhabu isiyostahili kumpata binadamu kwa Mungu kupitia mateso ndo njia ya kuthibitisha ushindi wako nk, mambo yanakwenda hivyo mwana janvi jitune tu kidogo ufanane na utashi huo utaliona neno LA Mungu lilivyo rahisi na tamu!
 
Mambo ya mbingu hayategemei umaridadi wa uelewa wa kidunia! Inahitajika tafsiri ya kiroho ili kuelewa hayo vinginevyo utaukana ukweli na kuuacha ulivyo na ualisia wake MF aonavyo Mungu so kama binadamu aonavyo,binadamu aonavyo kifo kama tendon bays na LA kutisha kwa Mungu in kama usingizi,unapoona mateso kama adhabu isiyostahili kumpata binadamu kwa Mungu kupitia mateso ndo njia ya kuthibitisha ushindi wako nk, mambo yanakwenda hivyo mwana janvi jitune tu kidogo ufanane na utashi huo utaliona neno LA Mungu lilivyo rahisi na tamu!
Hakuna ugonjwa mbaya kama kujifariji
 
Back
Top Bottom