Viongozi wengine waliokamatwa Mwanza wameachiwa bila dhamana yaani polisi imewadhamini yenyewe
Mbowe tu ndio bado anashikiliwa Dar es Salaam na haujulikani yupo Kituo gani, hapo unaweza kukuta yupo kwenye Nyumba ya wasiojulikana ili kesho afikishwe mahakamani kwa tuhuma za ugaidi
Mama SASHA kachafuliwa saana na vyombo vya Maghalibi kaonekana kuminya haki na uhuru wa kujieleza, sasa kesho MBOWE ambaye ni kiongozi pekee aliyebaki atafikishwa mahakamani kwa tuuma za UGAIDI ili kuonyesha dunia kuwa Mbowe ni gaidi
Je bado mama anaupiga mwingi?
Yetu macho, SASHA Sijui unafail wapi
Mbowe tu ndio bado anashikiliwa Dar es Salaam na haujulikani yupo Kituo gani, hapo unaweza kukuta yupo kwenye Nyumba ya wasiojulikana ili kesho afikishwe mahakamani kwa tuhuma za ugaidi
Mama SASHA kachafuliwa saana na vyombo vya Maghalibi kaonekana kuminya haki na uhuru wa kujieleza, sasa kesho MBOWE ambaye ni kiongozi pekee aliyebaki atafikishwa mahakamani kwa tuuma za UGAIDI ili kuonyesha dunia kuwa Mbowe ni gaidi
Je bado mama anaupiga mwingi?
Yetu macho, SASHA Sijui unafail wapi