Je Kenya ni salama.

Indume Yene

Platinum Member
Mar 17, 2008
2,948
709
Wakuu nilikuwa najaribu kuangalia ullinzi wa mwanamuziki wa Marekani Shaggy alipotembelea nchini Kenya. Ukijaribu kuhesabu walinzi aliokuwa nao, utagundua kuwa hata IGP wetu hana huo ulinzi. Je, hii ni kwa sababu Kenya hakuko salama au kuna sababu nyingine?

21.jpg
 
yuko kenya kwa ajili show... na hiyo show ya Tusker iko chini ya Prime time promotion pamoja na clouds
 
Back
Top Bottom