bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Serikali yetu Makini iliyoko madarakani imekuja na kauli Mbiu ya HAPA KAZI TU na naona watu wanaiunga mkono kwa asilimia kubwa kwani uwajibikaji katika taasisi mbali za Serikali pia za watu binafsi umekuwa mkubwa na wenye ufanisi hongera Serikali la hilo..
Pia Sera nyingine ni Nchi yetu kuwa na VIWANDA mbalimbali kwa lengo la kuzalisha ajira kwa wingi na kuzuia uagizaji wa bidhaa nyingi kutoka mataifa Ya nje.
Serikali iliyopita ilikua na kauli mbiu Ya KILIMO KWANZA na kweli ilitia bidii sana kuhakikisha kilimo kinafanikiwa nchi mwetu Kwani kilimo Ndo UTI WA MGONGO ikiwa ni pamoja na kutoa PEMBEJEO KWA WAKULIMA kwa bei nafuu,Kusambaza MATREKTA,na pia kuzalisha wataalamu wengi wa kilimo.
Swali langu ni Kabla ya Kuja na sera ya Viwanda Je SERA YA KILIMO KWANZA ILIFANIKIWA/IMEFANIKIWA??
Na ilikuwa ni SERA YA MIAKA MINGAPI?
NIMEULIZA IVYO KWA SABABU ILI VIWANDA VIFANYE KAZI LAZIMA MALIGHAFI ZIWEPO IKIWAMO NI PAMOJA NA MAZAO YA KILIMO.
Karibuni TUJUZANE...
Pia Sera nyingine ni Nchi yetu kuwa na VIWANDA mbalimbali kwa lengo la kuzalisha ajira kwa wingi na kuzuia uagizaji wa bidhaa nyingi kutoka mataifa Ya nje.
Serikali iliyopita ilikua na kauli mbiu Ya KILIMO KWANZA na kweli ilitia bidii sana kuhakikisha kilimo kinafanikiwa nchi mwetu Kwani kilimo Ndo UTI WA MGONGO ikiwa ni pamoja na kutoa PEMBEJEO KWA WAKULIMA kwa bei nafuu,Kusambaza MATREKTA,na pia kuzalisha wataalamu wengi wa kilimo.
Swali langu ni Kabla ya Kuja na sera ya Viwanda Je SERA YA KILIMO KWANZA ILIFANIKIWA/IMEFANIKIWA??
Na ilikuwa ni SERA YA MIAKA MINGAPI?
NIMEULIZA IVYO KWA SABABU ILI VIWANDA VIFANYE KAZI LAZIMA MALIGHAFI ZIWEPO IKIWAMO NI PAMOJA NA MAZAO YA KILIMO.
Karibuni TUJUZANE...