Uchaguzi 2020 Je, kauli hizi za 'Tamaa ya Madaraka na kutomtuma mtu kugombea' alizotoa Rais Magufuli ni dongo kwa Makonda na Gambo?

Bashite .....
Mi naona kabisa koroboi utambi unazama. Magu hanaga mambo ya kiswahili Kwanza Hana Siri akisema hakutaki ,hakutaki kweli, akisema sijakutuma ujue hujatumwa Hana kupapasa papasa mambo.

Kwenye hili makondo hawezi kosa tundikwa dripi za kutosha.
Umeshasahau kama mkuu wa mkoa wa Kigoma wa sasa kipindi yupo Fire and rescue naye alitumbuliwa kwa mbwembwe lakini mwisho wa siku akateuliwa tena.
 
Dogo kachemsha, and watu humu wanasema eti anaandaliwa kuwa waziri!!
Suala la Makonda ni tofauti mtakuja kushangaa. Atagombea, atapewa ushindi, atapata uteuzi, halafu mtaambiwa "Mimi sikumtuma, wananchi waliomchagua ndio waliomtuma. Eti baba nilikutuma ukagombee? Si ni wananchi walikutuma? Na wamekuamini. Sasa chapa kazi!"
 
Yaani hii nchi kila kitu anaamua JPM mpk wabunge yeye ndo anaanza kuamua nani awe mbunge na nani asiwe mbunge, wananchi sasa hawana maamuzi kwa lolote..
 
Huyo jamaa PhD inamaana vyuo vilishindwa kumpa hata Tempo la Assistant Lecturer tuu.Akaishii kuwa mpiga debe wa HQ.Hiyo Shahada itakuwa haina maana au soko ni zile unazipata kimagumashi
 
Kunamdau alisema usimwamini mwana siasa ww chamsingi tukaushee tuone muvi itakapo ishia
 
Huyo jamaa PhD inamaana vyuo vilishindwa kumpa hata Tempo la Assistant Lecturer tuu.Akaishii kuwa mpiga debe wa HQ.Hiyo Shahada itakuwa haina maana au soko ni zile unazipata kimagumashi
Kuwa assistant tutorial lazima GPA iwe sawa sawa ss sio kila mwenye PHD gpa inaruhusu
 
Hahaha! Nafahamu hilo,,,ni kuanzia GPA ya 3.8 kati ya 5.0 au vyuo vya kati huwa wanataka 3.5 GPA katika level ya Degree ya Kwanza na ya pili uwe na angalau 4.0 out of 5.0
Sasa huyo jamaa humo kote itakuwa holaaa
Kuwa assistant tutorial lazima GPA iwe sawa sawa ss sio kila mwenye PHD gpa inaruhusu
 
Hahaha! Nafahamu hilo,,,ni kuanzia GPA ya 3.8 kati ya 5.0 au vyuo vya kati huwa wanataka 3.5 GPA katika level ya Degree ya Kwanza na ya pili uwe na angalau 4.0 out of 5.0
Sasa huyo jamaa humo kote itakuwa holaaa
[/QU
Hahaha! Nafahamu hilo,,,ni kuanzia GPA ya 3.8 kati ya 5.0 au vyuo vya kati huwa wanataka 3.5 GPA katika level ya Degree ya Kwanza na ya pili uwe na angalau 4.0 out of 5.0
Sasa huyo jamaa humo kote itakuwa holaaa
Na pia sio wote wanapenda kufundisha chief. Maana kufundisha na kusahisha assingment sio issue ndogo chief
 
Some one should advise the president haache fikra za Kizamani kwa hawa vijana wanaojitafutia maisha , yeye mbona hakulidhika na uwaziri. Akagombea uraisi yeye Mbona alikua Mwalimu akaacha akaenda kugombea ubunge , awaache wakatanue ubongo kwa kutatua new challenges ,meeting with new people , new skills and new environment hata yeye angebaniwa na viongozi wake hasingefika hapo alipo kwenye career path yake

Kuna benefits nyingi sana ukibadilisha mazingira ya kazi after 2 to 3 years Changing jobs keeps you on your toes and helps develop valuable professional skills. When you start a new job, you are pushed out of your comfort zone and are forced to learn new systems, new routines, new names and new people skills.

No matter how good your current job is these are the kind of skills that can only be learnt from entering a new work situation
 
Bashite .....😔😔
Mi naona kabisa koroboi utambi unazama. Magu hanaga mambo ya kiswahili Kwanza Hana Siri akisema hakutaki ,hakutaki kweli, akisema sijakutuma ujue hujatumwa Hana kupapasa papasa mambo.

Kwenye hili makondo hawezi kosa tundikwa dripi za kutosha.
Mkuu andiko lako hili linaonesha unajua. Kweli Kama unajua ujua tu. Haina mpinzani
 
Back
Top Bottom