britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Watu wengi hatuna idea juu ya maana halisi ya kutakatisha Pesa, mbaya zaidi wengine wanadhani uhujumu uchumi ni sawa na kutakatisha pesa,
Tudadavue hapa.
Je, katika shughuli za raia wa Tanzania wa kawaida anaweza kuwa anahujumu au kutakatisha pesa bila kujua?
Tudadavue hapa.
Je, katika shughuli za raia wa Tanzania wa kawaida anaweza kuwa anahujumu au kutakatisha pesa bila kujua?