johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,725
- 141,592
Jana nilimsoma pahala humu JF mkuu Douglas Sallu akiwa ametoa tangazo la benki fulani likiwataja kwa majina na picha wadaiwa sugu wa benki hiyo.
Miongoni mwa wadaiwa hao yumo Dr. Mashinji.
Dr. Slaa alipoondoka Chadema naye alikuwa na deni na nyumba yake kule mbweni almanusura ipigwe mnada sema tu CCM waliingilia kati na kumlipia.
Ndiposa najiuliza iweje hawa makatibu wakuu wanashindwa kulipa madeni ya mikopo yao au hawalipwi mishahara kupitia benki husika?
Niishie hapo,
Maendeleo hayana vyama!
Miongoni mwa wadaiwa hao yumo Dr. Mashinji.
Dr. Slaa alipoondoka Chadema naye alikuwa na deni na nyumba yake kule mbweni almanusura ipigwe mnada sema tu CCM waliingilia kati na kumlipia.
Ndiposa najiuliza iweje hawa makatibu wakuu wanashindwa kulipa madeni ya mikopo yao au hawalipwi mishahara kupitia benki husika?
Niishie hapo,
Maendeleo hayana vyama!