Je, Katibu Mkuu wa CHADEMA analipwa mshahara? Mbona Dkt. Slaa na Dkt. Mashinji wameondoka wakiwa wadaiwa sugu wa benki?

Jana nilimsoma pahala humu JF mkuu Douglas Sallu akiwa ametoa tangazo la benki fulani likiwataja kwa majina na picha wadaiwa sugu wa benki hiyo.

Miongoni mwa wadaiwa hao yumo Dr. Mashinji.

Dr. Slaa alipoondoka Chadema naye alikuwa na deni na nyumba yake kule mbweni almanusura ipigwe mnada sema tu CCM waliingilia kati na kumlipia.

Ndiposa najiuliza iweje hawa makatibu wakuu wanashindwa kulipa madeni ya mikopo yao au hawalipwi mishahara kupitia benki husika?

Niishie hapo,

Maendeleo hayana vyama!

Kukopa ua kutokopa hakutegemei mshahara wa mtu.
Kuna watu wanalipwa mishahara mizuri tu, lakini bado wanakopa. Pia kuna watu ambao hawalipwi mishahara mizuri , lakini hawakopi.
Kinachomfanya mtu kukopa ni sababu zake mwenyewe hivyo kusihusishwe na kutolipwa mshahara.
 
Jana nilimsoma pahala humu JF mkuu Douglas Sallu akiwa ametoa tangazo la benki fulani likiwataja kwa majina na picha wadaiwa sugu wa benki hiyo.

Miongoni mwa wadaiwa hao yumo Dr. Mashinji.

Dr. Slaa alipoondoka Chadema naye alikuwa na deni na nyumba yake kule mbweni almanusura ipigwe mnada sema tu CCM waliingilia kati na kumlipia.

Ndiposa najiuliza iweje hawa makatibu wakuu wanashindwa kulipa madeni ya mikopo yao au hawalipwi mishahara kupitia benki husika?

Niishie hapo,

Maendeleo hayana vyama!
yule Mashinji alikuwa ni mdaiwa sugu kabla hata ya kuukwaa ukatibu mkuu CDM. ...yule ni mzee wa mishe mishe mjini siku nyingi.
 
Kukopa ua kutokopa hakutegemei mshahara wa mtu.
Kuna watu wanalipwa mishahara mizuri tu, lakini bado wanakopa. Pia kuna watu ambao hawalipwi mishahara mizuri , lakini hawakopi.
Kinachomfanya mtu kukopa ni sababu zake mwenyewe hivyo kusihusishwe na kutolipwa mshahara.
Kumbe anakopa kama mjasiriamali !
 
Dr. Slaa alikua analamba 12m kila mwezi, alipewa nyumba na gari mbali na mambo mengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dr. aliharibiwa na ile nyumba yake ndogo....maana ilienda pale kwa mkakati wa u-festi ledi...iliposhindikana Lumumba wakaja na dau maza akalipitisha sasa hivi wanakula bata kwa mrija.
 
We haujawahi kudaiwa maishani mwako ?

Mkuu, usihangaike kuuliza maswal ya maana kwa wasio na uelewa. Mleta mada ameshindwa hata kusema kama madeni hayo ni kabla hajawa Katibu mkuu, au CHADEMA alikuwa mdhamini. Ameshindwa kutambua malengo binafsi ya wadaiwa na ameona "kudaiwa" ni kashfa. Na ndio hawa hawa wanashadidia "tunakopesheka". Hajui hata dhana tu ya "ninadaiwa" imekuwa ni msaada mkubwa wa watu kuwa na finacial discipline.

Nchii hii ina vijana wajinga wengi sana.
 
johnthepaptist muogope Mungu, post au thread gani nimeweka hilo tangazo? Kadiri siku zinavyokwenda ndivyo unazidi kushusha credibility yako hapa jukwaani.

Ninapokuita wewe ni mashine ya umbea siyo kama nakuvunjia heshima bali ni sifa uliyojizolea hapa jukwaani.

Na kwa taarifa yako katika thread na posts zote zilizobeba hilo tangazo siku comment kitu. Na kuhusu KM kulipwa mshahara, ni kuwa KM ndiye mtendaji wa Chama ina maana ni full-time job hivyo huyo Dr. Mashinji alikuwa anapata mshahara tena mzuri tu, suala la kudaiwa na benki ni la kwake binafsi.
Usimpe credit hajawahi kuwa credible hata sekunde moja huyu jamaa!
 
Mkuu, usihangaike kuuliza maswal ya maana kwa wasio na uelewa. Mleta mada ameshindwa hata kusema kama madeni hayo ni kabla hajawa Katibu mkuu, au CHADEMA alikuwa mdhamini. Ameshindwa kutambua malengo binafsi ya wadaiwa na ameona "kudaiwa" ni kashfa. Na ndio hawa hawa wanashadidia "tunakopesheka". Hajui hata dhana tu ya "ninadaiwa" imekuwa ni msaada mkubwa wa watu kuwa na finacial discipline.

Nchii hii ina vijana wajinga wengi sana.
Makatibu wakuu wawili walioongozana kuwa Wadaiwa sugu ndio kumenifanya niulize!
 
So long as deni la mtu lina jina lake litabaki kuwa lake na ye ndo atakayewajibika nalo mpaka litakapolipwa haijalishi nafasi yake au chama chake kwa wakati huo. Hao uliowataja sasa hivi ni wanachama wa chama kingine, madeni yao hayawezi kufutika mpaka watakapoyalipa licha ya vyama vyao walimo sasa.
 
Back
Top Bottom