GUI1
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 3,757
- 4,807
Unapewa jibu unakataa basi unajibu lako
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha urongo bwashee 12m p/m?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha urongo bwashee 12m p/m?!
Chadema hii inayochangisha wabunge imlipe mtu 12m?.......nakataa.
Case closed. Nimejiridhisha kuwa uwezo wako wa kufikiri umeshuka kiasi kuwa huwezi tena kuelewa baya na zuri.Bwashee unaelewa maana ya " Mdaiwa sugu"?
Jana nilimsoma pahala humu JF mkuu Douglas Sallu akiwa ametoa tangazo la benki fulani likiwataja kwa majina na picha wadaiwa sugu wa benki hiyo.
Miongoni mwa wadaiwa hao yumo Dr. Mashinji.
Dr. Slaa alipoondoka Chadema naye alikuwa na deni na nyumba yake kule mbweni almanusura ipigwe mnada sema tu CCM waliingilia kati na kumlipia.
Ndiposa najiuliza iweje hawa makatibu wakuu wanashindwa kulipa madeni ya mikopo yao au hawalipwi mishahara kupitia benki husika?
Niishie hapo,
Maendeleo hayana vyama!
Usijali bwashee, hata huku lumumba mishahara ni tia maji tia maji lakini madeni wanalipiwa!Case closed. Nimejiridhisha kuwa uwezo wako wa kufikiri umeshuka kiasi kuwa huwezi tena kuelewa baya na zuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
yule Mashinji alikuwa ni mdaiwa sugu kabla hata ya kuukwaa ukatibu mkuu CDM. ...yule ni mzee wa mishe mishe mjini siku nyingi.Jana nilimsoma pahala humu JF mkuu Douglas Sallu akiwa ametoa tangazo la benki fulani likiwataja kwa majina na picha wadaiwa sugu wa benki hiyo.
Miongoni mwa wadaiwa hao yumo Dr. Mashinji.
Dr. Slaa alipoondoka Chadema naye alikuwa na deni na nyumba yake kule mbweni almanusura ipigwe mnada sema tu CCM waliingilia kati na kumlipia.
Ndiposa najiuliza iweje hawa makatibu wakuu wanashindwa kulipa madeni ya mikopo yao au hawalipwi mishahara kupitia benki husika?
Niishie hapo,
Maendeleo hayana vyama!
Kumbe anakopa kama mjasiriamali !Kukopa ua kutokopa hakutegemei mshahara wa mtu.
Kuna watu wanalipwa mishahara mizuri tu, lakini bado wanakopa. Pia kuna watu ambao hawalipwi mishahara mizuri , lakini hawakopi.
Kinachomfanya mtu kukopa ni sababu zake mwenyewe hivyo kusihusishwe na kutolipwa mshahara.
Dr. Slaa alikua analamba 12m kila mwezi, alipewa nyumba na gari mbali na mambo mengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dr. aliharibiwa na ile nyumba yake ndogo....maana ilienda pale kwa mkakati wa u-festi ledi...iliposhindikana Lumumba wakaja na dau maza akalipitisha sasa hivi wanakula bata kwa mrija.Dr. Slaa alikua analamba 12m kila mwezi, alipewa nyumba na gari mbali na mambo mengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
We haujawahi kudaiwa maishani mwako ?
Sasa ilikuwaje mkaajiri mdaiwa sugu kwenye nafasi nyeti kama hiyo!yule Mashinji alikuwa ni mdaiwa sugu kabla hata ya kuukwaa ukatibu mkuu CDM. ...yule ni mzee wa mishe mishe mjini siku nyingi.
Yawezekana kabisa. Hivyo kushindwa kwa mtu kulipa madeni kusihusishwe na chama.Kumbe anakopa kama mjasiriamali !
na nyie imekuwaje mmempokea mdaiwa sugu tena kwa press kubwaaaa!!!Sasa ilikuwaje mkaajiri mdaiwa sugu kwenye nafasi nyeti kama hiyo!
Usimpe credit hajawahi kuwa credible hata sekunde moja huyu jamaa!johnthepaptist muogope Mungu, post au thread gani nimeweka hilo tangazo? Kadiri siku zinavyokwenda ndivyo unazidi kushusha credibility yako hapa jukwaani.
Ninapokuita wewe ni mashine ya umbea siyo kama nakuvunjia heshima bali ni sifa uliyojizolea hapa jukwaani.
Na kwa taarifa yako katika thread na posts zote zilizobeba hilo tangazo siku comment kitu. Na kuhusu KM kulipwa mshahara, ni kuwa KM ndiye mtendaji wa Chama ina maana ni full-time job hivyo huyo Dr. Mashinji alikuwa anapata mshahara tena mzuri tu, suala la kudaiwa na benki ni la kwake binafsi.
Makatibu wakuu wawili walioongozana kuwa Wadaiwa sugu ndio kumenifanya niulize!Mkuu, usihangaike kuuliza maswal ya maana kwa wasio na uelewa. Mleta mada ameshindwa hata kusema kama madeni hayo ni kabla hajawa Katibu mkuu, au CHADEMA alikuwa mdhamini. Ameshindwa kutambua malengo binafsi ya wadaiwa na ameona "kudaiwa" ni kashfa. Na ndio hawa hawa wanashadidia "tunakopesheka". Hajui hata dhana tu ya "ninadaiwa" imekuwa ni msaada mkubwa wa watu kuwa na finacial discipline.
Nchii hii ina vijana wajinga wengi sana.
Kama alilipiwa Slaa itakuwa huyu mtaaluma Mashinji!na nyie imekuwaje mmempokea mdaiwa sugu tena kwa press kubwaaaa!!!
Mzee hadi akatelekeza familia, chezea kitu cha BK weye.Slaa kwa kiasi kikubwa pesa zake zilikuwa zinaliwa na demu wake yule muhaya mweupe