Thinker96
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 311
- 66
Hivi imekaaje kwa utaratibu wa Katiba yetu?
Maana:
Pierre Nkurunziza alikaimu miaka mitano ya mwenzie akaja kukaa kumi yake ikawa 15.
Edgar Lungu alikaimu miaka mitatu akakaa yake mitano na akagombea mitano mingine akashindwa.
Je, kwetu Tanzania SSH kwa kuwa amekaimu mitano ya JPM, sasa anaweza kugombania mitano ya kwake ya kwanza 2025 na pia mitano yakwake ya pili 2030?
Imekaaje wajuzi wa haya mambo kwa utaratibu wa kikatiba ulivyo.
Maana:
Pierre Nkurunziza alikaimu miaka mitano ya mwenzie akaja kukaa kumi yake ikawa 15.
Edgar Lungu alikaimu miaka mitatu akakaa yake mitano na akagombea mitano mingine akashindwa.
Je, kwetu Tanzania SSH kwa kuwa amekaimu mitano ya JPM, sasa anaweza kugombania mitano ya kwake ya kwanza 2025 na pia mitano yakwake ya pili 2030?
Imekaaje wajuzi wa haya mambo kwa utaratibu wa kikatiba ulivyo.