Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,676
- 9,032
Hio kitu haipo ...Ni mythElezea inakuwaje? kuna kitu inaitwaje free will kwa binadamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio kitu haipo ...Ni mythElezea inakuwaje? kuna kitu inaitwaje free will kwa binadamu
Swali la kuuliza kamusi Hilo...thibitisha hiyo akili ipoSwali kwako akili ni nini?
Hio kitu haipo ...Ni myth
Hebu thibitisha Kuwa lipo...stories, tales ambazo mda ukienda zinafade kuwa legends na baadae ndio zinakuwa Myth.
Ni kwamba hata myth ilikuwa kwenye existence hata mpaka baadae ikasahaulika na kuhesabika kuwa ni jambo la kusadikika.
Point yangu ni kwamba jambo unalosema kuwa halipo ni lipo sema you just don’t believe it
Hebu thibitisha Kuwa lipo
Kwahyo evidence Ni bible imesema?Come on free will ipo hata Bible inasema kila mtu yuko huru kuchagua njia yake kama kuwa mwema au wicked one, kwani ww unataka nikupe free will uishike au
Kwahyo evidence Ni bible imesema?
Mkuu Maisha yote haya tunayoishi Ni algorithm...familia,ndoa,Serikali,uongozi,mahakama,Dini,Sheria,Nimejaribu kujibu maswali yako lakin wewe ume avoid kujibu swali langu.. ulidai binadamu anafuata algorithm nikasema elezea ukajifanya haujona nlichoandika
Uko sahihi hata mtoto akizaliwa anakuwa programmed kutokana na kile anachofunzwa na wazazi au mazingiraAcha uongo!
Hata binadam hawezi kufanya kazi yoyote bila ya kuwa programmed kwanza. Nikupe mfano?
Tuseme wewe ni Dereva wa Lori. Ndio kazi yako. Ulienda VETA ukawa programmed kuendesha Lori tu.
Sasa ghafla tukubebe mzobe mzobe hadi Theatre Room hospital tukuambie mfanyie Operation ya moyo mgonjwa!
Tukuache humo peke yako, UTAWEZA?
Hata binadam lazima awe programmed. Hawezi kufanya kila kitu!
Hio pekee haitoshi,kwani gari si imetengenezwa na binadamu,sasa nikuulize kuna binadamu anaweza kukimbia spidi kuizidi gari?Unalinganisha vipi kitu ambacho unakiendasha mwenyewe kifanye kazi vile unavyotaka kwa kutumia akili yako
Swali lako halieleweki
Uzi ufungweAcha uongo!
Hata binadam hawezi kufanya kazi yoyote bila ya kuwa programmed kwanza. Nikupe mfano?
Tuseme wewe ni Dereva wa Lori. Ndio kazi yako. Ulienda VETA ukawa programmed kuendesha Lori tu.
Sasa ghafla tukubebe mzobe mzobe hadi Theatre Room hospital tukuambie mfanyie Operation ya moyo mgonjwa!
Tukuache humo peke yako, UTAWEZA?
Hata binadam lazima awe programmed. Hawezi kufanya kila kitu!
Binadamu yupo smart Zaidi ndio maana katengeneza hadi computer.Wakuu,
Matajiri wawili wakubwa duniani waliwahi kutoa maoni yao juu ya uwezo wa computer;
Elon Musk yeye alisema computer ni smart zaidi ya binadamu kwenye maeneo mengi
Jack Ma yeye alisema Computer zina uwezo lakini binadamu ni smart zaidi kwa sababu binadamu ndio aligundua computer lakini hakuna computer imegundua binadamu;
Mimi nadhani wote wako sawa;
Nini maoni yako?
Credits;Quora forumView attachment 2032925View attachment 2032926View attachment 2032927
Kompyuta zote ziuwawe