Je, kati ya awamu zote za utawala Tanzania ni awamu ipi ambayo ni a good ‘developmental state’ (dola inayoleta maendeleo chanya)?

z12f

JF-Expert Member
Dec 4, 2017
635
458
‘A developmental state is characterized by having strong state intervention, as well as extensive regulation and planning. ... Johnson defined the developmental state as a state that is focused on economic development and takes necessary policy measures to accomplish that objective.’ (from Wikipedia Developmental state - Wikipedia ).

Kuna aina nyingi ya developmental states.


Mara nyingi developmental states:

1) Zinakuwa na miradi mikubwa ya kimkakati.

2) Zina himiza maendeleo ya viwanda.

3) Zina himiza maendeleo ya elimu.

4) Zina himiza maendeleo ya miundombinu.

5) Zina kuwa na falsafa ya uzalendo.

Wanazuoni wengi wamesema kwamba baadhi ya nchi za Asia kama Japan, Taiwan, Singapore, South Korea na Thailand ziliendelea kwa kasi kutokana na kuwa na ‘a developmental state’ (dola inayoleta maendeleo chanya).

Sometimes kwenye nchi hizo kuna vipindi ambavyo demokrasia iliminywa (hili sio jambo zuri).

Baadhi ya nchi hizi zilikuwa na ‘a benevolent dictator’ (dikteta mwema, mleta maendeleo) ambae sometimes alitawala muda mrefu (hili nalo sio jambo zuri).

Je, kati ya awamu zote za utawala Tanzania, ni awamu ipi ambayo ni a good ‘developmental state’ (dola inayoleta maendeleo chanya)?

Awamu ipi imeleta meandeleo kuliko awamu zingine?

Awamu ipi imewapa watu furaha kuliko awamu zingine?

Nime anzisha huu uzi kwa sababu nahisi kama wanazuoni walioko nyuma ya awamu ya tano wana ifikiria awamu hiyo in terms of ‘a developmental state’.
 
Mambo ya maendeleo ya vitu huku yakiacha mtu akiangamia bora tuwe kwenye umasikini wenye amani kuliko utajiri wenye mateso.
HELI KULA UGALI KWENYE AMANI KULIKO KULA PILAU VITANI.
 
Miradi mingi ni "Scam" hakuna cha Maendeleo hapo bali watu wanapiga dili tu..Mfano mradi wa gesi
 
Ukiangalia upande mwingine, sijawahi kuona awamu yoyote hapa Tanzania ikishambuliwa na misconception, misguided ideas na fake news kama inavyo fanyiwa awamu hii ya tano.

Hata kama vilivyo mezani vina mamufaa kwao, lakini false information inazuwia kuona mbali au kuelewa nini kina mamufaa kwako.
 
Mambo ya maendeleo ya vitu huku yakiacha mtu akiangamia bora tuwe kwenye umasikini wenye amani kuliko utajiri wenye mateso.
HELI KULA UGALI KWENYE AMANI KULIKO KULA PILAU VITANI.
Tanzania haijawahi kuwa na maendeleo hata hayo ya vitu, nashangaa watu wanasema tuna maendeleo ya vitu, hivyo vitu ni vipi, ukilinganisha na nchi gani.
 
Angalia TBC huko kuna kusifia as if kwa sasa WaTz kwa sasa wanapanga foleni kupewa hela za bure na serikali ya awamu hii
Tanzania haijawahi kuwa na maendeleo hata hayo ya vitu, nashangaa watu wanasema tuna maendeleo ya vitu, hivyo vitu ni vipi, ukilinganisha na nchi gani.
 
Back
Top Bottom