Hiyo team ndio inayoongoza nchi kwa sasa,Na January anavoshobokea wazungu!ni Kama Yule mzee wa Msoga.
Wanaamni kupitia wazungu watakuwa salama na ni rahisi kwao kusimikwa madarakani na kuhakikishiwa ulinziNa January anavoshobokea wazungu!ni Kama Yule mzee wa Msoga.
Tatizo mtu kwa tamaa ya madaraka ulishakua dalali. Huyo jamaa simuamini hata chembe maana yeye anatafuta fulsa kwa watu wa nje kwa maslahi binafsi ndani ya tanesco. Hana mtazamo wa ndani kwa tanesco kupata ufumbuzi wa matatizo. Kuingia tu hata hajaelewa kitu kwenye wizara kafanya ziara uarabuni na afrika ya kaskazini.Kampuni ya Marekani inayojishughulisha na ufuaji wa umeme wa upepo iliyopigiwa debe mwaka 2013 na Rais Obama ili ije kufua umeme wa upepo kule Singida huenda ikapewa tenda hiyo mapema mwishoni mwa mwaka huu ama mapema mwakani.
Ikumbukwe ndugu Rashid Shamte ambaye ni boss wa hiyo kampuni hapa Tanzania ni swahiba wa kufa na kuzikana wa January.
Ikumbukwe leo January Makamba ameiagiza Tanesco isiingie mkataba na kampuni za kuzalisha umeme wa kutumia mafuta huku akipigia chapuo na kuielekeza Tanesco ijikite kwa haraka kutafuta kampuni za kufua umeme kwa njia ya upepo eti kwa kigezo cha ukamilishwaji wa shughuli hiyo hautachukua muda mrefu 😂.
Je, hatupigwi kweli?!
Halafu wataingia mkataba wa miaka 20 huku wakijua kuwa JNHP Rufiji inzkamilika mwakani.Kampuni ya Marekani inayojishughulisha na ufuaji wa umeme wa upepo iliyopigiwa debe mwaka 2013 na Rais Obama ili ije kufua umeme wa upepo kule Singida huenda ikapewa tenda hiyo mapema mwishoni mwa mwaka huu ama mapema mwakani.
Ikumbukwe ndugu Rashid Shamte ambaye ni boss wa hiyo kampuni hapa Tanzania ni swahiba wa kufa na kuzikana wa January.
Ikumbukwe leo January Makamba ameiagiza Tanesco isiingie mkataba na kampuni za kuzalisha umeme wa kutumia mafuta huku akipigia chapuo na kuielekeza Tanesco ijikite kwa haraka kutafuta kampuni za kufua umeme kwa njia ya upepo eti kwa kigezo cha ukamilishwaji wa shughuli hiyo hautachukua muda mrefu 😂.
Je, hatupigwi kweli?!
Mama hana sauti
Uliwai kuuliza nani mmiliki wa Mayanga Construction iliyopewa tenda kujenga uwanja wa ndege wa chato?Je inawezekana endapo kampuni husika inauswahiba wa moja kwa moja na Waziri ufisadi utakosekana?
Tupe ushahidi wa uhusika wa January Makamba na iyo kampuni!Kampuni ya Marekani inayojishughulisha na ufuaji wa umeme wa upepo iliyopigiwa debe mwaka 2013 na Rais Obama ili ije kufua umeme wa upepo kule Singida huenda ikapewa tenda hiyo mapema mwishoni mwa mwaka huu ama mapema mwakani.
Ikumbukwe ndugu Rashid Shamte ambaye ni boss wa hiyo kampuni hapa Tanzania ni swahiba wa kufa na kuzikana wa January.
Ikumbukwe leo January Makamba ameiagiza Tanesco isiingie mkataba na kampuni za kuzalisha umeme wa kutumia mafuta huku akipigia chapuo na kuielekeza Tanesco ijikite kwa haraka kutafuta kampuni za kufua umeme kwa njia ya upepo eti kwa kigezo cha ukamilishwaji wa shughuli hiyo hautachukua muda mrefu 😂.
Je, hatupigwi kweli?!
Isipokuwa kipindi cha Jiwe tu.Tanzania haijawahi kuwa salama kwenye mikono ya wenye mamlaka
Lisu alipigwa risasi mchana kweuuuupe na hakuna aliyekamatwa au baba yake uchunguzi, nchi ilikuwa salama kweli kweliIsipokuwa kipindi cha Jiwe tu.
Kama kwa zaidi ya miaka mitano unazungumzia tukio moja tu, basi ujue nchi hii ni salama sana. Angalia taarifa za Marekani, kila dakika moja anauwawa mtu na moja ya tatu tu ya wahusika ndio wanaokamatwa. Tanzania chini ya Jiwe ilikiwa vizuri sana na shahidi ni wewe.Lisu alipigwa risasi mchana kweuuuupe na hakuna aliyekamatwa au baba yake uchunguzi, nchi ilikuwa salama kweli kweli
Uliwai kuuliza nani mmiliki wa Mayanga Construction iliyopewa tenda kujenga uwanja wa ndege wa chato?