Nataka kuingia katika uwekezaji wa hisa, naomba kujua yafuatayo: je kampuni gani inayotoa gawio (faida) nzuri kwa wawekezaji (wanahisa wake)?, pamoja na utaratibu wa kununua hisa upoje?. Pia, je utaratibu mzima wa hisa ulivyo hapa Tanzania? Naomba kuwakilisha.