Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,562
- 47,010
Akahojiwa kipi wakati ni ukweli shehe, taifa lina deni kubwa hakuna siri makaratasi yanaongeaWafuatiliaji wengi wa mambo tunajiuliza, kitendo cha Spika kutangaza Bunge lake halijafanya kazi yake ipasavyo ya kuisimamia Serikali hadi nchi kufikia deni la 70+ trilion sio kushusha hadhi ya Bunge?
Kama angetoa kauli hii mtu mwingine kesho angeitwa kwenye hii kamati, basi tunaomba haki itendeke kwa Bw. Ndugai kuitwa kwenye kamati ya Hadhi, Kinga na madaraka ya Bunge ili ajieleze kwanini anashusha hadhi ya Bunge letu.