magesengusa
Member
- Jul 11, 2015
- 5
- 4
Kama hakushindwa kuumba kwa pamoja kwanini hakufanya hivyo? Kwanini ajipe kazi ya kuumba kisha kuumba tena mwingine ambaye hakutokana na udongo ( mwanamke)?Mungu mwenyewe alianza kuumba mwanaume, au anafikiri Mungu alishindwa kuwaumba kwa pamoja?