Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Mungu mwenyewe alianza kuumba mwanaume, au anafikiri Mungu alishindwa kuwaumba kwa pamoja?
Kama hakushindwa kuumba kwa pamoja kwanini hakufanya hivyo? Kwanini ajipe kazi ya kuumba kisha kuumba tena mwingine ambaye hakutokana na udongo ( mwanamke)?
 
As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.
Uongo mtupu. Huko peponi hakuna kuoa wala kuolewa, sote tutakuwa kama malaika. "Asomaye na Afahamu".
 
As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.

Imeandikwa wapi?
 
Kwanza kabisa Mola wako hamdhulumu mtu yoyote aliyefanya jitihada kwenye kufanya matendo mazuri, ipo hivyo kwa Wanaume na Wanawake wote watalipwa kwa wema wao....SO, WANAWAKE NAO WATAENDA ENJOY PEPONI KWA ENJOYMENTS TOFAUTI TOFAUTI MOLA WAO NDIYO ANAJUA ZAIDI.


Na ukipata nafasi pitia hizi Aya hapa tafadhali 👇🏽
Al-Ahzab 33:35

إِنَّ ٱلْمُسْلِمِينَ وَٱلْمُسْلِمَٰتِ وَٱلْمُؤْمِنِينَ وَٱلْمُؤْمِنَٰتِ وَٱلْقَٰنِتِينَ وَٱلْقَٰنِتَٰتِ وَٱلصَّٰدِقِينَ وَٱلصَّٰدِقَٰتِ وَٱلصَّٰبِرِينَ وَٱلصَّٰبِرَٰتِ وَٱلْخَٰشِعِينَ وَٱلْخَٰشِعَٰتِ وَٱلْمُتَصَدِّقِينَ وَٱلْمُتَصَدِّقَٰتِ وَٱلصَّٰٓئِمِينَ وَٱلصَّٰٓئِمَٰتِ وَٱلْحَٰفِظِينَ فُرُوجَهُمْ وَٱلْحَٰفِظَٰتِ وَٱلذَّٰكِرِينَ ٱللَّهَ كَثِيرًا وَٱلذَّٰكِرَٰتِ أَعَدَّ ٱللَّهُ لَهُم مَّغْفِرَةً وَأَجْرًا عَظِيمًا

Hakika Waislamu wanaume na Waislamu wanawake, na Waumini wanaume na Waumini wanawake, na wat'iifu wanaume na wat'iifu wanawake, na wasemao kweli wanaume na wanawake, na wanao subiri wanaume na wanawake, na wanyenyekevu wanaume na wanawake, na watoao sadaka wanaume na wanawake, na wanao funga wanaume na wanawake, na wanao jihifadhi tupu zao wanaume na wanawake, na wanao mdhukuru Mwenyezi Mungu kwa wingi wanaume na wanawake, Mwenyezi Mungu amewaandalia msamaha na ujira mkubwa.

An-Nisa' 4:40
إِنَّ ٱللَّهَ لَا يَظْلِمُ مِثْقَالَ ذَرَّةٍۖ وَإِن تَكُ حَسَنَةً يُضَٰعِفْهَا وَيُؤْتِ مِن لَّدُنْهُ أَجْرًا عَظِيمًا

Hakika Mwenyezi Mungu hadhulumu hata uzito wa chembe moja. Na ikiwa ni jambo jema basi Yeye hulizidisha na hutoa kutoka kwake malipo makubwa.
NAJIVUNIA MIMI SIYO MUISLAMU SIJAWAHI NA SITAWAHI KUWA
 
As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.
Huyo aliyetunga hicho kitabu alimbagua na kumkandamiza Sana mwanamke, lakini kwa maneno utadikia wanasema ," wanamheshimisha mwanamke" usishangae yanayowapata wanawake wa kule Afghanistan chini ya Taliban ineandikwa hivyo.
 
Sasa hao wanawake 72 watakuwa wanawanyanduliwa vipi? Au kutakuwa na kuchapiana (michepuko) maana sipati picha mwanaume mmoja anyandue wanawake bikra 72 na kuishi nao siku zote??
 
Wanawake wa duniani walio wema ndio watakaokuwa mahurulaini wa mwanzo kwa waume zao. Sharti hao wanaume wawe walikufa wakiwa wema na wake nao pia. Iwapo wewe ni kizabizabina hutoingia hata peponi na kuwa hurulaini wa mwanamme mwengine iwapo mume wako wa duniani alikuwa muovu na kuwa mja wa motoni.

Hivyo fanya juhudi na pepo yenu wanawake ni nyepesi kwa ibada ndogo tu ijapokuwa hapa duniani shetani anawadanganya sana.
Nao wakifa watakamuliwa MAVI waingie peponi wasafi?
 
Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.
FaizaFoxy mchango wako unahitajika hapa kuhusu hili swala.
 
Kwahiyo mwanamke naye atapewa wanaume marijali 72 na mito ya pombe kama mwanaume alivyoahidiwa??
Au labda nao watapata ndoa ntobo kama wale wanawake wa kule Musoma ambao huoa kama wanaume😄😄😄😄
 
Wakati Biblia inasema mbinguni hakuna kula Wala kunywa,, kuoa Wala kuolewa kazi kuu kule ni KUIMBA NA KUMSIFU MUNGU.

Kuna kitabu kingine kinafindisha kuwa mbinguni Kuna tendo la ndoa tena kwa wanawake 72 , na kunywa pombe?

Embu fikiri mbinguni kulivyo na utakatifu , Mungu awe anapunga upepo kwa kutembelea bustani zake Kila kichaka anakutana na ndude Ina midevu ya kufa mtu inaendelea kuvunja amri ya sita😄😄😄

Huwa nafuatilia mawaidha na hadithi za dini hiyo , nyingi zimejaa hypothetical za kitoto na zinahimiza saana mahusiano kuliko mafundisho mengine.

Ukifuatilia mafundisho ya Kipoozeo unaweza kumchukulia kama comedian lakini yupo serious na ni kwa mujibu wa kitabu hicho. Mbaya zaidi wakati wanashusha nondo hizo kwenye ibada na watoto wadogo wamo humo humo maana hawana ibada kutokana na rika kama AL KITAB wafanyafyo. Hivyo unakuta katoto kadogo kanajua mambo mazito kumbe ni mawaidha ya ndoa na mahusiano
 
Dini hizi.

Sometimes najiuliza,hivi hadi wasomi kama Prof Janabi nao wako kwenye uislamu kufukuzia hizi ahadi za bikra?
View attachment 2520376
Anyway binafsi naamini dini zipo ili kutuunganisha tu hapa duniani ili upate watu utakaokuwa nao kwenye matukio fulani enzi za uhai wako na hata ukifa.

Bikra za hapa duniani sijishughulishi nazo ndiyo niwe na shauku na za mbinguni?
Kwahiyo hapo mke wa huyo jamaa alikua chuku chuku? Maana si huwa hamruhusiwi kuvaa chupi mkienda huko?
 
duh, humpendi mkeo, mimi naomba Inshallah nipate kuingia na mume wangu peponi yani tusiishie duniani
Thubutuuu, uende na nani peponi yan tangu asubuhi tunaparangana kuwaambia hamuendi wewe unakazana tu eti uende na mme wako? Nyinyi mtabaki na majamaa yaliyo shindikana hapa hapa duniani ma kina El chapo, Pablo ndio mtapambana nayo.
 
As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.
Mbona Quran inasema watu wataingia peooni na wake zao

Quran 36:54
Basi leo nafsi yoyote haitadhulumiwa kitu, wala hamtalipwa ila yale mliyo kuwa mkiyatenda.


55
Hakika watu wa Peponi leo wamo shughulini, wamefurahi.


56
Wao na wake zao wamo katika vivuli wameegemea juu ya viti vya fakhari.

57
Watapata humo kila namna ya matunda na watapata kila watakacho kitaka.
 
As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.
Hizo zinaitwa primitive mythologies za kiarabu, jiongeze
 
Back
Top Bottom